PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,051
- 29,743
Kama ingependeza zaidi then kwanini muweke hio mambo ya block?Watu wote tungekuwa na fikra kama zako ingependeza zaidi
Nilipopata notification hiyo , nilishituka kidogo
Vizuri kwa kuweza kuona jinsi ya kutumia Dislike
CmdSudo
Hapana asee , hii sikubaliani nayo,, huko mbele itasababisha watu kuwa waoga kutoa opinion au kuanzisha mada kwa kuogopa kukosolewa . kama hujapenda kitu ukipita kimya kimya inatosha,Wazo la dislike lizingatiwe tafadhali
Kama ingependeza zaidi then kwanini muweke hio mambo ya block?
WALK THE TALK.
Mnataka kumchonganisha sasa!Hahaha Maxence Melo sio mjinga, amegonga mule mule kwenye zao la lumumba.
Ni kweli, huyu mkuu Bia yetu huwa hana makuu, hata akipewa maneno ya kuudhi!Nilipigwa ban ya wiki kwa sababu ya member mmoja anayeonekana mungu-mtu humu JF. Jamaa ni mweupe kichwani afu ana kauli mbaya. Naanza na huyo, nafatisha na watu kibao waongo na wenye matusi.
Kuna watu wanakera lakini tunaishi nao, mtu kama Bia yetu sikubaliani nae kabisa lakini sijawahi ona anatoa lugha chafu ata umkosee vipi.
Nashindwa upload video kama mwanzo
Na Ile icon ya drop video siioni
Je ni Mimi Tu au kila mtu?
Nifanyeje?
Mkuu hicho kitufe kilikuwepo siku za nyuma, for some reasons akina Melo wakakiondoa. Leo naingia tu ni dk 3 Max ka-post. Haraka sana nika activate list yangu ambayo ni ndefu sana.
ninaendelea kuifanyia kazi kabla Max hajabadili mawazo.Nshafikia 27 hadi Jtatu nitakuwa pazuri tu.