Ignore list on JamiiForums: Maboresho ya mwaka 2020

Naomba mlitazame na mnipe briefing..

Najua zamani video zilikuwa shida sababu ya server..Ila now naamini sio tatizo.
Na dunia inazidi kwenda kwenye video sharing
Kuliko text.. JF naomba iende na wakati
YouTube .tick tock na other apps lazima JF
Iweze kwenda na wakati

Nashindwa upload video kama mwanzo
Na Ile icon ya drop video siioni
Je ni Mimi Tu au kila mtu?
Nifanyeje?

Utapewa ufafanuzi mkuu

Kuna tatizo sehemu ila shaka ondoa litarekebishwa
 
Asante kwa maboresho hayo, pia ningependa kuona kama:
1. Mtu akini-ignore nipate notification kwamba " Wangari Maathai has ignored you".😎
2. Kwa vile kuna button za like, love, nk basi tuwekewe ile ya dislike, kama sikubaliani na mchango wa mtu nionyeshe hisia zangu kwa dislike👊

Vinginevyo hongereni sana kwa hili jukwaa maridhawa kabisa.

1. Hiyo hali naona kama italeta ukakasi kidogo

2. Option hiyo ipo, haswa kwa mtu kama wewe unayetumia browser, ukiweka cursor kwenye Thanks zitatokea emojis kama 6 moja wapo ni ya Dislike {Ipo Mwisho Kulia}
 
Sasa hivi ni mwendo wa kuwatembezea rungu la ignore list MATAGA wote.
Nyie waoga sana nyie, hii sio sawa, mnapenda kumsikiliza mnachokipenda tu kama wale watu wenu wa tweeter ukiwapinga tu wanakublock, hiyo sio sawa na hata hili hapa linakandamiza freedom of speech and expression, kwa nini haya maboresho yawe katika kipindi hiki Maxence Melo? kuna nini nyuma ya pazia? tujifunze kuvumiliana wapendwa.
 
1. Hiyo hali naona kama italeta ukakasi kidogo

2. Option hiyo ipo, haswa kwa mtu kama wewe unayetumia browser, ukiweka cursor kwenye Thanks zitatokea emojis kama 6 moja wapo ni ya Dislike {Ipo Mwisho Kulia}
Thanx mkuu, hapo nimejaribu tu, sio kwamba nimedislike comment yako.

Hapo namba moja sioni ukakasi wowote, ukijua fulani hana interest na michango yako hakuna ubaya nadhani. Nway ni maoni tu.
 
Ignore ni nzuri ila kwangu haina nafasi kabisa, eti kwa vile tu mtu ametoa maoni au ana mtazamo tofauti na wangu basi ale block, kwangu ni udhaifu mkubwa wa kushindwa kuishi na watu tofauti. Nitaendelea kufurahia humu kwa kusoma pumba na mashudu yote.
 
Ignore ni nzuri ila kwangu haina nafasi kabisa, eti kwa vile tu mtu ametoa maoni au ana mtazamo tofauti na wangu basi ale block, kwangu ni udhaifu mkubwa wa kushindwa kuishi na watu tofauti. Nitaendelea kufurahia humu kwa kusoma pumba na mashudu yote.

Watu wote tungekuwa na fikra kama zako ingependeza zaidi

Thanx mkuu, hapo nimejaribu tu, sio kwamba nimedislike comment yako.

Hapo namba moja sioni ukakasi wowote, ukijua fulani hana interest na michango yako hakuna ubaya nadhani. Nway ni maoni tu.

Nilipopata notification hiyo , nilishituka kidogo

Vizuri kwa kuweza kuona jinsi ya kutumia Dislike
 
Back
Top Bottom