Naam kiongozi. Naomba usiniweke mimi maana haitafanya kazi 🤣Mkuu kwa hio,ukimuweka mtu kwenye ignore list haoni contents zako kabisa??? kama ni hivi..hongera sana Max
Kwani mimi nakuhusu nini, nina madhara gani kwako, kwanini unanilazimisha niachane na jambo lake? Ungekuwa unaishi ulichokiandika usingeniandikia hivi. Ni kwamba huwezi mind your own business katika mada za JF kwakuwa zipo tujadiliane, ndo maana hakuna thread unayoweza zuia comments.
Unaona jinsi ulivyorejea comments zangu mada ile... Rudia kusoma ulichoandika uone ulivyoshindwa kukitimiza.
Naam kiongozi. Naomba usiniweke mimi maana haitafanya kazi 🤣
Hahaha.... nijaribu?
Brother Maxence japo nje ya mada ila ombi langu ni kuwa imefikia wakati sasa muanzishe jukwaa la mambo ya Ujenzi na masuala yanayohusiana na vitu hivyo, sababu hii sekta ni pana sana kuichanganya kwenye jukwaa la habari na hoja mchanganyiko ni kuleta mkanganyiko. Asante sana na natumai ombi letu litashughulikiwaUnaweza jaribu
SudoUnaweza jaribu
Bia yetu go to hell
Kuna mmoja wa Lumumba naanza kulipiga block
Ili?Unaweza jaribu
Nashindwa upload video kama mwanzoUnaweza jaribu
Mkuu hicho kitufe kilikuwepo siku za nyuma, for some reasons akina Melo wakakiondoa. Leo naingia tu ni dk 3 Max ka-post. Haraka sana nika activate list yangu ambayo ni ndefu sana.Mie nahisi naongoza humu
Nashindwa upload videoAsiyesikia la mkuu.....
Nimeghairi
Nashindwa upload video
Nna ban?
Naomba mlitazame na mnipe briefing..Haupo kwenye ban, kuhusu ku upload video suala hilo linaangaliwa