IFM wana matatizo gani? Wanafunzi watatu wa kiume wamejirekodi picha mbaya!

au wanaona wanawake mnavoliwa huwa mnafaidi na kupata raha sana nini? ndo wakachagua nao waliwe na kuolewa.
Unasema wameolewa ? Ni nani huyo kawaoa duh.?sorry sijaona hiyo connection 😪. Zamani ilikua wazazi wanafikiria zaidi juu ya malezi ya mtoto wa kike , ila siku hizi hata watoto wa kiume inabidi mzazi uwe macho muda wote hadi aje ajitambue kama yeye ni mtoto wa kiume, otherwise unaweza mpoteza 🙄. Inabidi elimu itolewe kuhusu jinai ya ushoga na ikiwezekana sheria ichukue mkondo wake kwa waliofanya huo upuuzi.
 
Mkuu dunia imeisha yan siku ungejua yanayofanyika vyuoni kwa siri amna atakaemwangalia mwenzake usoni na amna mzazi atampeleka mwanae uko bila uangalizi maalumu na videos zipo nyingi mkuu hazijawa released,, tuvumilie bado kitambo kidogo bwana yesu aludi anyakue walio wake. Ameen
Mbona haya mambo yalikuwepo miaka elfu kabla hta ya Yesu. Kwenye Biblia kuna njemba walitaka kuwaingilia vidume waliomtembelea Lot!! Ko hakuna jipya ni muendelezo tu wa uovu
 
Mbona haya mambo yalikuwepo miaka elfu kabla hta ya Yesu. Kwenye Biblia kuna njemba walitaka kuwaingilia vidume waliomtembelea Lot!! Ko hakuna jipya ni muendelezo tu wa uovu
Bora hata wee useme ukweli, yaan wanadamu wanavo haha utadhan n jambo jipya au ngeni lol,
 
Wadaslam wanashida sana kila kukicha matukio ya ajabu ajabu tu,aiseee sipaswi kulala unaweza kuta nchi ishahama. Wanaume wapo majeshini tu.
 
Mnatoaga wapi hizi mindset? Kabaka Mwanga alikua anaingilia wanaume wenzake huko Baganda kingdom!! Kabla hata ya wakoloni kuja!! What I'm saying ushoga upo miaka mingi ulimwengu kote. Kwanini kila kitu tunachokosea lawama kwa mzungu au hujui Uarabuni, east Asia, na middle east kuna ushoga kuliko ulaya??

Tuacheni inferiority complex, tusolve shida zetu bila kutafuta wa kulaumu
Wape hao ukweli na waelewe,
Unajua kunifurahishaga wee, hakika Elimu yako ina manufaa sana.
Ubarikiwe.
 
Jamaa zetu hapo eagle wing bila shaka mna vitengo maalum vinavyodeal na ustawi wa jamii..

Naamini wataingia kazini katika hili, Ni vyema wale vijana wakawa eliminated one by one in six month program, na within that time kila mmoja katika hao vijana awe kwenye ufuatiliwaji mkali kukusanya data mbali mbali kwenye chuo husila na jamii inayowazunguka, collecting all in chain over 18yrs with silent elimination....
Case study ifanyike chap, where started aka the root, start to research and prepair special plan to shape the community before heading into fire...
Jeshi lenyewe wanaelewa hii michezo ipo ndo maana kupimwa hizi hatua za awali ni muhimu je Kuna taasisi Tanzania inahusika hiii kitu au hata Sera au Sheria Kama hamna Basi hili swala haliwezi zuiliwa
 
Jeshi lenyewe wanaelewa hii michezo ipo ndo maana kupimwa hizi hatua za awali ni muhimu je Kuna taasisi Tanzania inahusika hiii kitu au hata Sera au Sheria Kama hamna Basi hili swala haliwezi zuiliwa
Kwanza hao wanajeshi wenyew wengi wao ni mashoga (mabasha),
 
Haya mambo ya watoto wa kiume wasomi kutojua thamani yao ,jasho la wazazi na walezi wao wawasomeshao kwa tabu...kodi ya wananchi kupitia BOOM la HESLB ili wafike kunakokusudiwa kulikomboa taifa lao.

It's disgusting.
Hakika wanaume tumebaki wachache. Kumbe nilicheza kama pele watoto wangu baada ya kumaliza form four wote niliwapeleka JKT na namshukuru Mungu sasa wanalitumikia Taifa katika vyombo vya ulinzi na usalama huko baadhi wameoa na wamejiendeleza wenyewe.

Zamani ilikuwa huwezi kuta chuoni kuna watoto wa miaka 18 na 21 sasa hivi watoto wamejaa huko na tamaa zao za maisha zinapelekea kugawa makalio kwa wanaume wengine.

Inasikitisha sana
 
Hakika wanaume tumebaki wachache. Kumbe nilicheza kama pele watoto wangu baada ya kumaliza form four wote niliwapeleka JKT na namshukuru Mungu sasa wanalitumikia Taifa katika vyombo vya ulinzi na usalama huko baadhi wameoa na wamejiendeleza wenyewe.

Zamani ilikuwa huwezi kuta chuoni kuna watoto wa miaka 18 na 21 sasa hivi watoto wamejaa huko na tamaa zao za maisha zinapelekea kugawa makalio kwa wanaume wengine.

Inasikitisha sana
Mzee ukigundua mwanao wa kiume anafanya hivyo, utachukua hatua gani?
 
Mnatoaga wapi hizi mindset? Kabaka Mwanga alikua anaingilia wanaume wenzake huko Baganda kingdom!! Kabla hata ya wakoloni kuja!! What I'm saying ushoga upo miaka mingi ulimwengu kote. Kwanini kila kitu tunachokosea lawama kwa mzungu au hujui Uarabuni, east Asia, na middle east kuna ushoga kuliko ulaya??

Tuacheni inferiority complex, tusolve shida zetu bila kutafuta wa kulaumu
mkuu hii ya kabaka mwanga nilishaiskia sana, hivi ilikuwa ndo mila zao au ilikuaje? mkuu embu tuchambulie kwa undani zaidi, na ikiwezekana shusha history yake.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom