IFM wana matatizo gani? Wanafunzi watatu wa kiume wamejirekodi picha mbaya!

Mmeona mikanda ya video ya vijana wa IFM walojirekodi? Ukisikia sodoma ndio hii sasa hiki chuo kina matatizo gani?

Kwani sasa hivi kumekuwa na wimbi la watu kujirekodi picha za uchi?

Tena kinachosikitisha ni wanaume watupu yaani sijui ndo mashoga wale jamaa watatu

Hicho chuo kina matatizo gani? Kwani sasa hivi kumekuwa na wimbi la watu kujirekodi picha za uchi?
Wewe unashangaa IMF je yaliyopo CCM unayajua ? Ccm ndiyo choo cha shetani kabisa machoko yote mauza unga pusha majangiri nk wote wapo humo
 
Na cha ajabu hamtaamini utashangaa wanaitwa kwenye radio wanahojiwa wanacheka yani watapewa airtime hao mtashangaa kisha blog uchwara za yuu tubu zitawahoji kiukweli hili janga nchini kwetu na miongoni mwa vitisho vya kiusalama ushoga umo kabisa inafikia hatua mwenyewe unaingia zako fesibuku kuangalia mambo yako jibaba limeshiba linakujia inbox "naomba ukani*ire"laaana khum
 
Licha ya kuwa mimi ni muangalia porno maarufu lakin Katika kitu ambacho sijawahi kufanya wala kuwa na ujasiri nacho ni kuangalia video za mwanaume anamkunja mwanaume mwenzake hiyo ni laana mbaya sana.
Me mwenyewe siwezi kucheki mitoto ya kiume inanyanduana
 
Hao unaowaagiza hayo pia ni humans, na wengine maybe hata ni same na hao vijana (gays) , hii issue is not easy as unaona, trust me, ukisema watu waanzekuuwawa na Tz hii especially Dar utakuta hadi your best friends wako wameuawa utabaki mdomo wazi.

Tatizo watu wamekalili eti gays ni wale wanaovaa kike ama wanajibinua binua kama wanawake NO, get educated more guys kwa hii issue, nimefatilia sana how people discuss about this issue na nimerealize watu hata hawajui how gays are, na bila kujua you cannot control it,

Namuombea kila mtu ambae anachukia asipate mtoto ambae ni gay unless iwe ni kwa mpango wa Mungu but kupanga kuwaua is not a solution, solution ni kufatilia tu mienendo ya watoto wenu, msiwaache wakiwa wapweke, ushoga ni suala pana sana, sio kwamba watoto au watu wanapenda pesa ama maisha mazuri, no, ni psychological issue, na psychological issue huwezi deal nayo kwa njia hizo mnazodiscuss, sjui kumkagua mtoto , mala eti kuwapa kazi ngumu, mala sjui wanakula chips, mala sjui kukataza birthday, yani all people think ni kuwa hao watu wamejitakia.

Think of pombe, ama sigara ama drags, mtu akiwa addicted navyo, unaweza mwambia acha tu na akawacha? Nimeongea yote haya sababu i have a friend ambae i came to find out he is gay but sikuwahi hata siku moja hata kuhisi kua he is gay, na tumesoma wote secondary school ambayo ni bording school, tumelala room moja, even same high school, he was a great man, he is very bright amechukua PGM na alipata very high marks form 6 na kwao wako na pesa na father ake ni mkali na hawadekezi hata kidogo, but accidentally tu akanipa simu yake nitumie (alikua ananiea kabla but sikuwahi waza kumchunguza) nimetumia simu yake then sms ikaingia, nikaifungua accidentally since nilikua natype kitu nikajikuta nimeopen, sms ya mapenzi but profile ya men, and ikabidi niangalie sms za.nyuma nikakuta they are dating for a while now, niliona vitu vingi siwezi hadisia hapa, anadate na mwanaume mwenzake, tena mtu ako na family nzuri, na pesa pia, na ni mfanyakazi shirika kubwa tu la pension (btn NSSF NA PSSSF) I mean si mfanyakzi kawaida , maybe let me call it ni kati ya wadosi, niliduwaa nisijue la kufanya, he had a girlfriend pia, but nilikaa nae chini, tuliongea mengi sana and until today he is my friend, takuja kuandika thread one day about why he is still my friend na niliyojua from that day. Ushoga ni mbaya, na inafedhehesha sana na i pray for you ambae unawatoto wakiume, Mungu akulindie watoto wako, ila akija kua gay kwa namna yoyote, tafadhari usimuue, usimchukie wala usifanye ukatili wa aina yoyote just jua tu ni Mpango wa Mungu sababu nakuhakikishia there is no way utaweza mlinda mtoto wako vile unawaza.

Thanks.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Ukianzisha huo uzi usiache kunitag
 
Hata kusoma tu uzi huu naona nimekosea sana ... duuuh hatari sana , inashangaza kuna watu wanataka kuona
 
Hata kusoma tu uzi huu naona nimekosea sana ... duuuh hatari sana , inashangaza kuna watu wanataka kuona
unashangaa?! shukuru sana upo bara watu wana amani, unapokuwa kwenye mkusanyiko wa watu wengi unachunga mifuko ya suruali kwa makini bila bugza.

ukienda zanzibar huko watu wanachunga makalio kwa makini kuliko mifuko ya suruali, watu wanaishi kwa wasiwasi bila amani, na ukizubaa tuu, marinda yanapotea muda wowote.
 
Mmeona mikanda ya video ya vijana wa IFM walojirekodi? Ukisikia sodoma ndio hii sasa hiki chuo kina matatizo gani?

Kwani sasa hivi kumekuwa na wimbi la watu kujirekodi picha za uchi?

Tena kinachosikitisha ni wanaume watupu yaani sijui ndo mashoga wale jamaa watatu

Hicho chuo kina matatizo gani? Kwani sasa hivi kumekuwa na wimbi la watu kujirekodi picha za uchi?
Sijajua IFM Ina ingiaje hapo....Ni sawa Sawa na Muislmu mmoja KULA kitimoto hadharani alafu wew unakuja ku conclude waislamu wanakula kitimoto....

Hata kama una chuki na IFM punguza mihemko.....
 
Fanya unitumie, connection haijasima Hadi mda huu
emoji26.png

Sitaki kuamini mpaka muda huu sijaziona hizo video
Nenda twita mcheki mtu anaitwa shetani8
 
Back
Top Bottom