IFM sio Chuo???

Kuna utofauti wa kuipata 40% na hao wa muccobs kuipata 50% kama unabisha muulize mtu wa cbe kuhusu pale ifm..primary ndo wanaetolewa vyote mwalimu kafundisha ndo maana ifm hakuna first class na upper second zinazotangatanga huko mtaani..
 
unasema chuo cha usimamizi wa fedha hakiko makin na wakati mwaka huu kuna mwanafunzi wa IT amegundua system flan ivi adi TBC1 wakamfuata chuo pale kumhoji na wakaahidi kumpa ushirikiano ili aitangaze...afu still unasema eti taasisi haiko makin...we ni mjinga kati ya wajinga dunian

TAASISI YA USIMAMIZI WA FEdha!! sio chuo kikuu KAMA SUA(MUCCoBS),MZUMBE,UDSM,UDOM N.K
 
MKUU MIMI SIPONDI HII TAASISI YA USIMAMIZI W Fedha ninachojaribu nikuuambia umma kwamba sio degree zote zinatolewa kwenye vyuo vikuu nyinine zinatolewa kwenye taasisi kama IFM,ISW, NA NIT

sasa nani aliyekuuliza kua degree zote zinazotolewa na vyuo vingn zinatolewa ifm??kile ni chuo cha usimamizi wa fedha ..kwa utindio wako wa ubongo unahisi kitatoa coz zote zinazotolewa ud/udom?pale wanatoa cz za biashara tu..unachojaribu kuwaambia watu ni kitu cha kijinga...
 
Kuna utofauti wa kuipata 40% na hao wa muccobs kuipata 50% kama unabisha muulize mtu wa cbe kuhusu pale ifm..primary ndo wanaetolewa vyote mwalimu kafundisha ndo maana ifm hakuna first class na upper second zinazotangatanga huko mtaani..
KUBALI TU KUWA SHULE YA Ifm ni rahisi(40)!,
g.p.a ya 3.5 ya ifm ni = 2.5 sua(MUCCoBS), KAMA C YENU NI 4O% UKIWA NA C ZOTE UNAWEZA UKAWA NA G.P.A YA 2..., WAKATI UKIJA MUCCoBS(SUA), KWA HIZO C ZA 40S UNAJIKUTA NA G.P.AYA 1.5,
 
TAASISI YA USIMAMIZI WA FEdha!! sio chuo kikuu KAMA SUA(MUCCoBS),MZUMBE,UDSM,UDOM N.K
Ni kweli ifm sio chuo kikuu...ila ifm ni chuo na ni chuo ambacho kina hadhi ya juu ukilinganisha na hata vyuo vikuu vya tz...tatizo lenu nyinyi manadharau sasa hizi institute mf TIA,DIT,TAA...Acheni dharau...kama unaona sio chuo njoo usome...wako wenzako wameingia pale wana dv 1 za six na bdo wakagraduate semestr ya 1 tu ya frst 1..acheni kudharau vitu
 
sasa nani aliyekuuliza kua degree zote zinazotolewa na vyuo vingn zinatolewa ifm??kile ni chuo cha usimamizi wa fedha ..kwa utindio wako wa ubongo unahisi kitatoa coz zote zinazotolewa ud/udom?pale wanatoa cz za biashara tu..unachojaribu kuwaambia watu ni kitu cha kijinga...

TAASISI YA USIMAMIZI WA FEDHA,,INATOA KOZI ZA BIASHARA TUU??!! ,IT ,COMPUterscience ni kozi za biashara???, wewe kweli unasomea kwenye taasisi na sio chuokikuu
 
Endelea ku kashifu tu si tunakula maisha kwa elimu hiyo hiyo ya ifm,na ofisini vilaza kibao toka mzumbe. Na udsm wanatuita ma boss so kama ukipata nafasi ya kusoma soma kwa bidii ili uonekane wa tofauti accounts ndio zile zile uelewa ndio unategemea na bichwa lako
 
Uktaka mjua mtu maskin utamsikia anasifia chuo alichokisoma,afu ukiuliza coz yake utaskia Baed,mtu anajisifia Udsm yupo taw la mkoan huko,au anasomea acquatic scienc hukoo,achen porojo za kikosaji,chuo chuo tu hata IFM inatoa had NTA level 7,8 huko kwan UD haina NTA?achen ulimbuken wa kutofautisha univer na instt na ukimwona mtu wa aina hyo angalia maisha yake aliyonayo n ya kihoehae anaamua ficha ufukara wake kwa kuweka jina la chuo juu,na GPA yake ya 2.5 hyo.....
 
Huu mjadala wa chuo gani kizuri na kipi kibaya unachekesha sana. Binafsi nimesoma Tumaini na nilianza kazi pamoja na vijana wenzangu wengi tu kutoka hivyo bora vilivyotajwa hapo ju na mmoja wetu (UDSM, Mzumbe). Sina undgu na bosi yetote pale ila kwakujituma, hivi sasa mimi ni bosi wa wale vijana wenzangu tulioanza kazi pamoja. Je, niidharau degree yangu kwasababu inatoka Tumaini? Hivi, nikipata First Class ya Tumaini au IFM au SAUTI nitakuwa sawa na aliyepata Gentleman ya UDSM/Mzumbe/etc? Hivi sasa ninapokea wanafunzi wengi kutoka vyuo hivyo Havard za Tanzania na wengine kutoka vile ambavyo wenzetu mliobarikiwa mnaviita Vya Kata na kusema kweli wapo wanaonielewa haraka na wapo wasioelewa kabisa japo wanatoka vyuo vyote. Je, mchango wa chuo alichosoma mtu hapa ni upi katika utendaji kazi wake? Je, tumefikia kiwango cha kuwahukumu watu kwa vyuo walivyopitia? Hatuoni kuwa tunawakatisha tamaa wale wanaowekeza katika elimu? Binafsi ninaamini kuwa UDSM kumejaa walimu wengi sana na wenye good qualifications ila wengi wao wamekuwa wanasiasa. Kwa ujumla, walimu wengi, haswa ktk vyuo vyenye majina kama UDSM, siku hizi hawafundishi kutokana na kukata tamaa na ugumu wa maisha. Wanachangamkia zaidi projects za research. Tusidanganyane, hakuna chuo ambacho ni kizuri katika kila fani na hakuna chuo ambacho ni kibovu katika fani zote. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. IFM ni chuo kizuri kwa wanafunzi wanaokwenda kusoma na kibovu kwa wanafunzi wanaokenda kutalii. A bad writer always blames his/her pen!

.....copy that*
 
NASHUKURU KWA KUKUBALI UNASOMea kwenye taasisi

Nimesoma udsm tena udsm ya miaka ileeee ya daruso ya Mutungirehi wakati huo udsm ilikuwa udsm kweli sio udsm ushuzi ya miaka hii.
Ila sioni tatizo lolote institute kutoa degree as long as ina accreditation.
Hata degree itolewayo MIT iko juu sana na huwezi kuilinganisha na degree uchwara za udsm ya miaka hii
 
IFM is a high learning institute focusing on developing proffessionals. Sio chuo Kikuu/University ambao focus in kudevelop aacademia na intellectuals. sasa hapo chambua intellectual na proffesional.
Na CBE je,ipo upande gani?tehe....tehe....
 
True my NiggA.!?
Kuna jamaa yangu m1 nilisoma naye miaka hiyo na yuko hapo IFM matokeo ya semester amepata supp ya account sasa juzi kaniomba nimkopeshe elf 50 wanataka wakamhonge lecture ili awatoe kwenye hiyo supp akadai bila hivyo hatoki..!?
Nilimshangaa sana

Hivi elimu ni chuo au kichwa chako? Jembe zuri haliwezi kulima lenyewe. Vyuo vyote vina curricula. Tunaposema chuo kizuri mfanyanye assessment ya ubora wa curriculum inayotumika sio udhaifu wa mtu binafsi. Kwa nyie mnaochagua jembe wakati hamna nguvu ya kulima muelewe kwamba chuo cha IFM ni taasisi yenye mlengo wa polytechnic unaokusudia kuandaa professionals. Sio kweli kwamba wanaokwenda hapo ni vilaza labda tu kama hujui kwamba wapo watu wanaotoka UDSM na kwenda kuchukua post graduate studies IFM na wengine wanashindwa. Personally nilisoma Adv. Diploma IFM na baadaye nilijiunga na MBA ya UD. Hata hivyo nilikuwa star. Hakuna chuo kizuri wala kibaya. Juhudi yako ndio uzuri wa chuo.
 
INSTITUTE OF FAILURES AND MANAGEMENT.(IFM):loco:

so far sijaona ulichomaanisha!
back to the topic, ukijitambua utajuta kwa huu upumbavu wako,
usisome chuo au kozi ili upate sifa bali kwa maana halisi ya kuandaa future yako na zaidi kozi zinazouzika kwenye soko la ajira! wengi wanaolalamika ajira ngumu ni wa akili za design yako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom