Chuo cha Usimamizi wa Fedha kinatoa Course nzuri sana, inaitwa Social Protection. Taaluma hii ni muhimu kwa Dunia ya sasa, na hapa Tanzania kuna gap sana.
Sasa cha ajabu ndani ya hiyo Course kumewekwa Hesabu, tena ngumu ngumu.
Lengo lenu nini?
Mnatukwaza Manguin'
Sasa cha ajabu ndani ya hiyo Course kumewekwa Hesabu, tena ngumu ngumu.
Lengo lenu nini?
Mnatukwaza Manguin'