Ifikie wakati Nchi za Africa tujitoe kushiriki Kombe la dunia

kibogo

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
9,739
4,732
Nimeangalia michezo hii na hususani huu mchezo ulioisha hivi punde kati ya Greece na Ivory Cost na hiki kilichofanyika ambacho kimejionyesha wazi kwa kugawa Penalt kwa mtu kuchimba chini yeye mwenyewe pasipo kuguswa kimenihudhunisha sana na pia tulejee matukio ya nyuma
1. 1990 - Cameroon na Argentina waafrica tulinyanyaswa kwa yasiyovumilika kwani kadi 2 nyekundu zilitolewa kimagumashi huku unyanyasaji wa wazi ukifanyika kutoka kwa Referee
2. 2010 - South Africa - Ghana na Uruguai Suelez alidaka mpira ambao tayari ulikuwa gori lakini cha kushangaza Refa akatoa Penalt na kusababisha Gyan kukosa na kusababisha vifo kadhaa nchi mbalimbali ikiwemo na ghana yenyewe.
3. Pia mechi ya jana ya Brazil na Cameron tumeshuhudia gori la tatu likifungwa kwa ofside ya wazi kabisa.

Ni vema CAF wakajitafakari juu ya hiki kinachotokea na ili kutusaidia waafrica nafuu tungeacha kushiriki hayo mashindano yao tukajiendeshea wenyewe mashindano yetu.
 
kwakweli ni uonevu wa dhahiri na ile sio penalt kabisa. na utakuta caf na viongozi wa soka africa watakaa kimya bora hata watoe malalamiko. huyo refa tokea mwanzo alikuwa anawabeba wagiriki. wanacheza faulo hatoi adhabu yoyote
 
Jaman hivi mchezo wa Ivory cost ulikuwa halali kweli! Mbona penati waliyopewa jamaa kama co halali au ndio ngozi kila siku niyakuonewatu? Mnasemaje wanajamvi juu ya hilo.
 
Al penalt bin haram, al world cup bint haram, al haram bin haram bint haram, astaghafilulah!!!
 
Mi Ningekuwa uwanjani ningemtwanga mangumi jamaa aliyejikata mtama akajiangusha.
 
siku moja mambo yatakaa sawa, you can fool some people for sometimes, but you cannot fool all the people all the time!!
 
Dah mkuu it's too sad refs ameuwa mchezo kabisa that's was not fair at all. Anyway inauma but ndo hivyo tumuachie Mungu.
 
dakika ya 90+2 refa anatoa penati kwa ugiriki na kuwadidimiza ivory coast na kuwaondoa kabisa katika michuano
kwa kher golden generation:
 
images.jpg
 
Nimeangalia michezo hii na hususani huu mchezo ulioisha hivi punde kati ya Greece na Ivory Cost na hiki kilichofanyika ambacho kimejionyesha wazi kwa kugawa Penalt kwa mtu kuchimba chini yeye mwenyewe pasipo kuguswa kimenihudhunisha sana na pia tulejee matukio ya nyuma
1. 1990 - Cameroon na Argentina waafrica tulinyanyaswa kwa yasiyovumilika kwani kadi 2 nyekundu zilitolewa kimagumashi huku unyanyasaji wa wazi ukifanyika kutoka kwa Referee
2. 2010 - South Africa - Ghana na Uruguai Suelez alidaka mpira ambao tayari ulikuwa gori lakini cha kushangaza Refa akatoa Penalt na kusababisha Gyan kukosa na kusababisha vifo kadhaa nchi mbalimbali ikiwemo na ghana yenyewe.
3. Pia mechi ya jana ya Brazil na Cameron tumeshuhudia gori la tatu likifungwa kwa ofside ya wazi kabisa.

Ni vema CAF wakajitafakari juu ya hiki kinachotokea na ili kutusaidia waafrica nafuu tungeacha kushiriki hayo mashindano yao tukajiendeshea wenyewe mashindano yetu.

Naomba kujuwa shule uliyosoma, nataka kweda kuonana na mwalimu wako.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom