kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Nimeangalia michezo hii na hususani huu mchezo ulioisha hivi punde kati ya Greece na Ivory Cost na hiki kilichofanyika ambacho kimejionyesha wazi kwa kugawa Penalt kwa mtu kuchimba chini yeye mwenyewe pasipo kuguswa kimenihudhunisha sana na pia tulejee matukio ya nyuma
1. 1990 - Cameroon na Argentina waafrica tulinyanyaswa kwa yasiyovumilika kwani kadi 2 nyekundu zilitolewa kimagumashi huku unyanyasaji wa wazi ukifanyika kutoka kwa Referee
2. 2010 - South Africa - Ghana na Uruguai Suelez alidaka mpira ambao tayari ulikuwa gori lakini cha kushangaza Refa akatoa Penalt na kusababisha Gyan kukosa na kusababisha vifo kadhaa nchi mbalimbali ikiwemo na ghana yenyewe.
3. Pia mechi ya jana ya Brazil na Cameron tumeshuhudia gori la tatu likifungwa kwa ofside ya wazi kabisa.
Ni vema CAF wakajitafakari juu ya hiki kinachotokea na ili kutusaidia waafrica nafuu tungeacha kushiriki hayo mashindano yao tukajiendeshea wenyewe mashindano yetu.
1. 1990 - Cameroon na Argentina waafrica tulinyanyaswa kwa yasiyovumilika kwani kadi 2 nyekundu zilitolewa kimagumashi huku unyanyasaji wa wazi ukifanyika kutoka kwa Referee
2. 2010 - South Africa - Ghana na Uruguai Suelez alidaka mpira ambao tayari ulikuwa gori lakini cha kushangaza Refa akatoa Penalt na kusababisha Gyan kukosa na kusababisha vifo kadhaa nchi mbalimbali ikiwemo na ghana yenyewe.
3. Pia mechi ya jana ya Brazil na Cameron tumeshuhudia gori la tatu likifungwa kwa ofside ya wazi kabisa.
Ni vema CAF wakajitafakari juu ya hiki kinachotokea na ili kutusaidia waafrica nafuu tungeacha kushiriki hayo mashindano yao tukajiendeshea wenyewe mashindano yetu.