Nsam
JF-Expert Member
- Oct 25, 2018
- 212
- 286
Napendekeza hoja hii ili nao wananchi wajifunze kwa sabab. Wapinzani wanasimama kuwasemama kuhus mishahara midogo ! Wao wanaandaman kupongeza juhudi! Wanakemea suala la korosho wao wanaandaman kupongeza juhudi! Sas ni vyema wananchi wakose wasemaj ili baada ya ukandamizwj wa muda mrefu wapate akili had bibi wa kule kijijin apate akili! La sivyo hatutoboi! Inatakiwa tukandamizwe had tuimbe wimbo mmja! Ona sas wamerudishiwa korosho! Waende wakzipike kwa saabab walipongeza juhud na kusema wamepata mkombozi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums