Haiwezekani watuibie pesa yetu halafu wakatae kujiuzulu na kutamba kwenye bunge letu tukufu halafu sisi watanzania tumekaa tu tumewangalia, hivi kweli nchi ina wanaume kweli na kama wapo kwanini tusivae sketi tupige umbea na wake zetu kuliko hili la kuibiwa na kubaki kuchekacheka tu hivi haya yangefanyika hata Kenya wangelitulia tu bila kufanya jambo Burkinafaso hawakuwa wajinga.