kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,808
Huyu jamaa kwani aliwazaje kuongoza nchi iliyojaa ufisadi kiasi kile, lakinin ajira zilikuwepo za kutosha, mishahara ikawa inapanda kila mwaka, makodi na matozo ya kukomoana haya yalikuwa hayapo, Demokrasia ilitawala na watu walikuwa na pesa.
Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..
Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii
Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..
Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii