Ifike mahali tuheshimiane! Tabia ya watu kujitapa kuendeleza mjini ya watu wengine tuache....

Mkwawe

JF-Expert Member
Jun 10, 2016
2,344
4,167
Unajua kuna kasumba ya kipumbavu sana iko miongoni mwa wanajamii wa kitanzania ya kudharau wenyeji wa mahali waliowakuta.

Yaani hawathamini kabisa zile jitihada za wenyeji katika kuimarisha uchumi na maendeleo ya eneo husika na kuona watu wengine kutoka mahali pengine ndio waliofanikisha hadi sehemu fulani kuwa na maendelo ya kijamii

Utakuta mijitu inasema "aaah hawa kabila hili hamna kitu kabisa watu kutoka eneo fulani ndio wameleta maendeleo humu mjini mwao"
Au utakuta wengine wanasema "bila sisi huu mji usingeendelea sisi ndo tumeubdlisha, wenyeji wao kazi yao ni kukaa vibarazani tu" au "wenyeji kazi yao ni kuomba omba tu" au utasikia pia "hawa wenyeji kazi yao ni kulima nyanya tu hawana uwezo wa kuendeleza mji bila sisi tuliokuja kutafuta maisha huku"

Sasa mimi huwa najiuliza kiliwashinda nini wao kubaki kwao na kuiendeleza miji yao na kuenda kwenye miji ya watu? hiko si kiherehere!
Kama nyie ni mabingwa wa kuleta mageuzi ya kimaendeleo bakini kwenu ili miji yenu pia iendelee na muache kuhamahama hovyo, kitendo cha wimbi kubwa la jamii fulani kuhamia sehemu fulani ni kwamba kuna fursa wameiona sehemu fulani ambayo wenyeji husika wameitumia na wao wakavutiwa nayo au tafsiri nyingine ni kwamba kwenu ni KUBAYA na HAKUNA MVUTO

Mkome kukandia jamii za watu wakiowakaribisha hiyo sehemu na mkaneemeka na kuwaona ni wapumbavu na malofa

Shenzi
 
Sisi wazaramo huwa tunasemwa sana kwenye hili.
Hakuna mzaramo,mgogo,mmakonde,mmwela,mmakuwa anayeishi kagera,Arusha,Moshi,kama yupo ni mtumishi wa umma!au kaolewa huko.
Hizo jamii zinapenda vitu rahisi,hawapendi changamoto.
Dodoma ninaishi karibu na katibu wa wizara moja nyeti,yeye ni mgogo.anajua masibu yote ndugu zake wanayopitia katika swala LA ardhi,lakini hana msaada wowote,badala yakuwasaidia ndugu zake,yeye ni kuwatambia tu,kwa ukwasi wake,ni kubsdirisha ndinga tu,mala Lexus,rav 4,land cruiser Prado,kama msomi yupo hivyo,je wasiosoma watakuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah daah Moshi pakibaki Manispaa hadi miaka 60 ijayo je huko kwenu porini patakuaje?

Labda mtakua ndo mnajifunza kuacha kunya kwny mifuko ya 'Rambo' huku kampeni ya 'nyumba ni choo' ikiwa ndo inawafikia huko porini mkuu wangu.

angalia sampo kama hii
Hovyo tuu, na huo ndo ujinga unaowagharimu nyie wachaga
Moshi itakuwa Manispaa miaka hadi 60 ijayo kwa kuwa mu wajinga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mzaramo,mgogo,mmakonde,mmwela,mmakuwa anayeishi kagera,Arusha,Moshi,kama yupo ni mtumishi wa umma!au kaolewa huko.

Hizo jamii zinapenda vitu rahisi,hawapendi changamoto.

Dodoma ninaishi karibu na katibu wa wizara moja nyeti,yeye ni mgogo.anajua masibu yote ndugu zake wanayopitia katika swala LA ardhi,lakini hana msaada wowote,badala yakuwasaidia ndugu zake,yeye ni kuwatambia tu,kwa ukwasi wake,ni kubsdirisha ndinga tu,mala Lexus,rav 4,land cruiser Prado,kama msomi yupo hivyo,je wasiosoma watakuwaje?



Sent using Jamii Forums mobile app

Ungeongea kote tingejaribu kukaa kimya ila kwa wamakonde ndo umembwela kabisa



Kwa taarifa yako mikoa ya kusini shiguli nyingi huendeshwa na wamakonde na wamwera acheni wivu

Wagogo unaiwajua wewe ndo hao uliowaona tu ushawahi kufika Mpwapwa na kuona mji wa wilaya ulivyo na maendeleo kukaribia nusu ya manispaa zingine

Wazaramo wengi tu wana maendeleo vile hawana utamaduni wa kujionesha na kujisifia kwa watu na niwa tu ambao huridhika kwa kiwango chochote ambacho Mungu huwajalia na pengine majina yao ya ukoo hayajulikani
 
Hahah daah Moshi pakibaki Manispaa hadi miaka 60 ijayo je huko kwenu porini patakuaje?

Labda mtakua ndo mnajifunza kuacha kunya kwny mifuko ya 'Rambo' huku kampeni ya 'nyumba ni choo' ikiwa ndo inawafikia huko porini mkuu wangu.



Sent using Jamii Forums mobile app
mbali na ushirikina mlionao ila bado hamfiki popote si mnaona mlivyo masikini wa fikra wachaga hiyo moshi ni sawa na ukubwa wa kata ya rwamishenye
 
"Maaneneoo kidogo wazaramo hao!!" Naikumbuka hii nyimbo nikiwa mdogo
 
Hahah kumbe we jamaa ni wa kagera huko.

Aisee mkuu acheni kupambana na magulio ya katerero na mto ngono,tafuteni hela mkuu.
mbali na ushirikina mlionao ila bado hamfiki popote si mnaona mlivyo masikini wa fikra wachaga hiyo moshi ni sawa na ukubwa wa kata ya rwamishenye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huko kwa wagogo bado mnakula ule msosi maarufu 'viwavi' wkt wa njaa mkuu?

Karibu ndizi mshale boss.

Ungeongea kote tingejaribu kukaa kimya ila kwa wamakonde ndo umembwela kabisa



Kwa taarifa yako mikoa ya kusini shiguli nyingi huendeshwa na wamakonde na wamwera acheni wivu

Wagogo unaiwajua wewe ndo hao uliowaona tu ushawahi kufika Mpwapwa na kuona mji wa wilaya ulivyo na maendeleo kukaribia nusu ya manispaa zingine

Wazaramo wengi tu wana maendeleo vile hawana utamaduni wa kujionesha na kujisifia kwa watu na niwa tu ambao huridhika kwa kiwango chochote ambacho Mungu huwajalia na pengine majina yao ya ukoo hayajulikani



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom