Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Unafiki ni nini ?
Unafiki ni kuwa na kauli za kubadilika badilika na kujifanya huoni mambo mazuri yakifanyika.
Pia
Unafiki ni roho ya kichawi ya kutopenda maendeleo ya wengine
Sisi Chadema tumekuwa ni pingapinga wa kila kitu ina maana hatuoni mambo haya yakitokea kwenye nchi yetu?
1. Upanuzi wa barabara ya kimara kwa njia nane ambao unaenda kwa kasi na sasa wamefikia hatua ya kuweka lami?
2. Ina maana sisi chadema hatuoni kwamba sasa hivi hamna migomo tena vyuo vikuu?
3.Ina maana sisi chadema hatuoni kwamba sasa hivi vituo vya polisi havivamiwi tena na majambazi ?
4. Ina maana hatuoni kabisa kwamba mgao wa umeme umeisha na watalii wameongezeka?
5. Si ni sisi Chadema tulikuwa tunalalamikia ufisadi na kutaka mafisadi watumbuliwe na kufungwa haraka?
Ina kama tungeshinda sisi CHADEMA, tusingefufua shirika la ndege, tusingejenge reli ya umeme wala tusingeanzisha mradi mkubwa wa kumaliza tatizo la umeme nchini kwa kujenga bwawa la Stiglers gorge?
Kama tungeshinda sisi chadema tungewaacha machinga ,mama ntilie ,wachimbaji wakiteseka kwa kufukuzwa hovyo na kuandamana mabarabarani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafiki ni kuwa na kauli za kubadilika badilika na kujifanya huoni mambo mazuri yakifanyika.
Pia
Unafiki ni roho ya kichawi ya kutopenda maendeleo ya wengine
Sisi Chadema tumekuwa ni pingapinga wa kila kitu ina maana hatuoni mambo haya yakitokea kwenye nchi yetu?
1. Upanuzi wa barabara ya kimara kwa njia nane ambao unaenda kwa kasi na sasa wamefikia hatua ya kuweka lami?
2. Ina maana sisi chadema hatuoni kwamba sasa hivi hamna migomo tena vyuo vikuu?
3.Ina maana sisi chadema hatuoni kwamba sasa hivi vituo vya polisi havivamiwi tena na majambazi ?
4. Ina maana hatuoni kabisa kwamba mgao wa umeme umeisha na watalii wameongezeka?
5. Si ni sisi Chadema tulikuwa tunalalamikia ufisadi na kutaka mafisadi watumbuliwe na kufungwa haraka?
Ina kama tungeshinda sisi CHADEMA, tusingefufua shirika la ndege, tusingejenge reli ya umeme wala tusingeanzisha mradi mkubwa wa kumaliza tatizo la umeme nchini kwa kujenga bwawa la Stiglers gorge?
Kama tungeshinda sisi chadema tungewaacha machinga ,mama ntilie ,wachimbaji wakiteseka kwa kufukuzwa hovyo na kuandamana mabarabarani?
Sent using Jamii Forums mobile app