Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,019
Timu ina kila kitu pesa,viwanja, malupulupu, usafiri mzuri na kila aina ya incentives.
Njoo uwanjani sasa timu inacheza kama ipo umitashumita kweli? yani pesa yote mtu kawekeza alafu litimu linafungwa goli tatu utafikili ni ndanda fc. Ifike atua uongozi wa azam ubadilike wekezeni kwenye scouting ya wachezaji sio kusajili wachezaji wazee kama kina ngoma na chirwa pumbavu zenu.
Njoo uwanjani sasa timu inacheza kama ipo umitashumita kweli? yani pesa yote mtu kawekeza alafu litimu linafungwa goli tatu utafikili ni ndanda fc. Ifike atua uongozi wa azam ubadilike wekezeni kwenye scouting ya wachezaji sio kusajili wachezaji wazee kama kina ngoma na chirwa pumbavu zenu.