Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,019
- Thread starter
- #41
Kwahyo mbao unaichukulia kiwepesi kwa akili yako pole sana. Ile timu ndo ingepata pesa walizo nazo azamu fc nakuakikishia fc vita wangekuwa wanapigwa tano bila nje ndani.
Njaa ndyo inayofanya wachezaji wa mbao kujituma uwanjani kwa matumaini kuwa timu kubwa zitawaona na kuwasajili. Na wakishafika izo timu kubwa wakajenga nyumba na kununua gari basi wanabweteka as usual km wachezaji wa azam .
Sent using Jamii Forums mobile app