AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Niko mdogo mdogo najipanga kumvaa Alshaabab Rage, mzee wa bastora, huko Tabora.
Pangu Pakavu.
hata mm najipanga cumpoteza huyo bokoharamu (rage) 2015' so wanangu wa kl, ng'ambo msikonde.
Niko mdogo mdogo najipanga kumvaa Alshaabab Rage, mzee wa bastora, huko Tabora.
Pangu Pakavu.
Wasomi ni watu wenye vigezo gani?
sengerema lazima nitest
Mwalimu unauliza msomi ana vigezo gani? Lakini cha muhimu nafikiri mleta mada angesema wenye uelewa na uchungu wa nchi hii maana tunao wasomi na ndio hao walio tuifikisha hapa.
Nauliza kwa sababu kila mtu ana vigezo vyake. Kuna sehemu nyengine aliyefika Form Six ni msomi wakati wengine kama hawajasikia PhD hawajaona kama msomi
Wengine waliosomea mambo ya kiimani katika taasisi zisizokuwa rasmi ni wasomi na wengine huwaita wasomi wale wenye vyeti vya taasisi zilizorasimiwa tu hata kwenye mambo ya ki taaluma
Kwa hiyo anaposema msomi ana vigezo gani? Ili tusijekuwa tunazungumzia watu tofauti bila ya kujijua
Suali linalofuatia ndilo hilo uliloliulizia, usomi pekee ni kigezo tosha?
ishia hapohapo.....wa2 tumeshajipanga kwa ushindi wa kishindo 2015 af we waleta habari zako?? LOL!ile miposho naweza mi nataka jimbo la selasini maana jamaa aliniboa kwenye ishu ya posho...kwani lazima niwe mchaga kugombea rombo?
Kwa tafsiri yenu Msomi ni nani?
Mwaka elfu 2010 vijana wa chadema (Mnyika, Wenje, Mdee, Zitto n.k) waligombea nafasi ya kuwania ubunge kupitia Chadema na kufanikiwa kuwa wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hivyo, nashauri vijana chipukizi wanaomaliza Vyuo kuwaiga vijana tajwa hapo juu kwani wametuonyesha njia. Tuchangamke inawezekana kuwabwaga wazee wa ccm. John Heche, Dr. Kitila Mkumbo, Deus Kibamba msituangushe changamkeni.
Mwaka elfu 2010 vijana wa chadema (Mnyika, Wenje, Mdee, Zitto n.k) waligombea nafasi ya kuwania ubunge kupitia Chadema na kufanikiwa kuwa wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hivyo, nashauri vijana chipukizi wanaomaliza Vyuo kuwaiga vijana tajwa hapo juu kwani wametuonyesha njia. Tuchangamke inawezekana kuwabwaga wazee wa ccm. John Heche, Dr. Kitila Mkumbo, Deus Kibamba msituangushe changamkeni.
Masele alishindwa hilo liko wazi, ila jamaa walipoona Shy ingekuwa ni mkoa pekee ulio na majimbo zaidi ya matano yakiwa chini ya CDM. Waliyabaka matokeo na kwa kweli kufariki kwa Jembe letu Shilembi pale Shy ndiyo pona yaoMi shy town lazima nikinukishe aise! huyu Masele lazima achape rapa!! kama yupo humu nasema kabisa haibiwi mtu kura 2015!!
Vijana wote wana haki ya kugombea sio wasomi tu,na mnaposema wasomi mnaamanisha nini? maana hata aliyemaliza la saba kasoma naye ni msomi pia. cha muhimu wale waliobobea katika fani mbali mbali wabaki kuwa washauri na watendaji katika wizara na sekta mbali mbali,hapo tutasonga mbele. HUO NI MTAZAMO WANGU
Sitta na Kapuya wajipange aisee!2015 Urambo nakinukisha!!!
Wasomi ni watu wenye vigezo gani?
ni vizuri kuanza na magamba ya ndani!natangaza nia Mbeya mjini!Tafuta jimbo la gamba umg'oe mkuu