JAMANI SIKU TATU ZILIZOPIA NILIITUMA BAUA HII KUMBE NILIANDIKA VIBAYA HALI KADHARIKA MAMBO NDIYO HAYO CCM UKINGONI.
KATIBU CCM MKOA
MOROGORO
Somo la hapo juu lajieleza kama inavyosomeka Halmashauri ya CCM Kata ya Kibaoni iliketi 07/11/2012 na kuangalia mwenendo mbovu wa Diwani Msika kwa kutokuwa mwaminifu katika utendaji wa kazi na tuhuma nyingi za pesa zilizoliwa za michango ya wananchi na wahisani. Pamoja na mihutasari mingi kuletwa wilayani lakini hakuna hatua zilizochukuliwa. Hivyo Halmashauri ya chama Kata ya Kibaoni imepoteza kabisa imani na Diwani wao Msika. Mpaka tunaleta taarifa kwenu Mkoani Wilaya wajua matatizo ya Diwani huyo hivyo ni mategemeo yetu mtatusaidia katika hilo.NB: Halmashauri kuu ya Kata imependekeza kumsimamisha Diwani huyu kwa nia ya kukinusuru chama.
NAKALA:-
1. MWENYEKITI CCM MKOA MOROGORO - KWA UFUATILIAJI
2. KATIBU CCM (W) KILOMBERO
CHAMA CHA MAPINDUZI
KUMB NO. CCM/KBN/KM/1/12OFISI YA KATA, YA KIBAONI
S.L.P 29,
KIBAONI IFAKARA .
18/11/2012
S.L.P 29,
KIBAONI IFAKARA .
18/11/2012
KATIBU CCM MKOA
MOROGORO
YAH: MALALAMIKO MUHIMU KUTOKA CCM KATA KIBAONI WILAYA YA KILOMBERO
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
1. MWENYEKITI CCM MKOA MOROGORO - KWA UFUATILIAJI
2. KATIBU CCM (W) KILOMBERO