HahahhahhaWana fanyaga welcome form one..?
Vipi kuhusu bweche na maharage vinapatikana..?
Kwa sisi wahuni machimbo ya kujificha ili kukwepa pindi yapo..? Au ndo shule imejazwa mikamera unaonekana mpk kibofu..
Fala mwenyewe mkuu..😅Hahahhahha
We fala umejua kunichekesha daaaah
Mkuu unapenda sana bweche maharageWana fanyaga welcome form one..?
Vipi kuhusu bweche na maharage vinapatikana..?
Kwa sisi wahuni machimbo ya kujificha ili kukwepa pindi yapo..? Au ndo shule imejazwa mikamera unaonekana mpk kibofu..
Hapana napenda bweche samaki sema kishuleshule lazima upende..😂Mkuu unapenda sana bweche maharage
Siku pendwa ya wanafunzi wa bweniHapana napenda bweche samaki sema kishuleshule lazima upende..
Dhiki ulizopitia ifunda mwenzako wa fedha anazisikia tuKuna kitu kwenye biashara kinaitwa GOODWILL. Yaani chpisi yai ya 2500 Ubungo ukienda Posta kwenye mgahawa fulani unauziwa 9000.
Ukiwa na jina kubwa la biashara yako unaweza kupanga bei unayotaka.
Kutoka Arusha kuja Dar kuna mabasi mazuri kuliko KILIMANJARO EXPRESS ila bei yao ni elfu 25 wakati KILIMANJARO EXP wanachaji hadi elfu 36.
Goodwill= ni kuuza kitu kwa kutumia ukubwa wa jina la kampuni ila bidhaa au huduma ni ile ile.
Mimi nimesoma Ifunda Tech kwenye baridi ada ilikuwa elfu 70 kwa mwaka nikapata division I na kuna mwingine kasoma Feza Boys kalipa ada milioni 6 kapata division I kama yangu.
haziwezi kufanana...kajaribu kuongea kizungu mbele ya watu uone tofauti...weweeeKuna kitu kwenye biashara kinaitwa GOODWILL. Yaani chpisi yai ya 2500 Ubungo ukienda Posta kwenye mgahawa fulani unauziwa 9000.
Ukiwa na jina kubwa la biashara yako unaweza kupanga bei unayotaka.
Kutoka Arusha kuja Dar kuna mabasi mazuri kuliko KILIMANJARO EXPRESS ila bei yao ni elfu 25 wakati KILIMANJARO EXP wanachaji hadi elfu 36.
Goodwill= ni kuuza kitu kwa kutumia ukubwa wa jina la kampuni ila bidhaa au huduma ni ile ile.
Mimi nimesoma Ifunda Tech kwenye baridi ada ilikuwa elfu 70 kwa mwaka nikapata division I na kuna mwingine kasoma Feza Boys kalipa ada milioni 6 kapata division I kama yangu.
Weee ninatema yai mzungu akosome. Uliza debate za Tosamaganga, Iringa girls hadi Malangali nilikuwa nakimbiza.haziwezi kufanana...kajaribu kuongea kizungu mbele ya watu uone tofauti...weweee
Mfano dhiki gani? Labda useme baridi tu.Dhiki ulizopitia ifunda mwenzako wa fedha anazisikia tu
Well said mkuuHii kiufundi tunaaiita Marketing brand kwenye ubora wake kutoka 2500 Hadi 9000 na mtu ana-per bila kulalama
Hapo kwa feza ka-division kake katakua na + plus
... na huwa tunaushukuru sana ule msitu wa posta kule.Kuna kitu kwenye biashara kinaitwa GOODWILL. Yaani chpisi yai ya 2500 Ubungo ukienda Posta kwenye mgahawa fulani unauziwa 9000.
Ukiwa na jina kubwa la biashara yako unaweza kupanga bei unayotaka.
Kutoka Arusha kuja Dar kuna mabasi mazuri kuliko KILIMANJARO EXPRESS ila bei yao ni elfu 25 wakati KILIMANJARO EXP wanachaji hadi elfu 36.
Goodwill= ni kuuza kitu kwa kutumia ukubwa wa jina la kampuni ila bidhaa au huduma ni ile ile.
Mimi nimesoma Ifunda Tech kwenye baridi ada ilikuwa elfu 70 kwa mwaka nikapata division I na kuna mwingine kasoma Feza Boys kalipa ada milioni 6 kapata division I kama yangu.
Chips yai Samaki Samaki ni 25,000 yaani Elfu ishirini na tano.Kuna kitu kwenye biashara kinaitwa GOODWILL. Yaani chpisi yai ya 2500 Ubungo ukienda Posta kwenye mgahawa fulani unauziwa 9000.
Ukiwa na jina kubwa la biashara yako unaweza kupanga bei unayotaka.
Kutoka Arusha kuja Dar kuna mabasi mazuri kuliko KILIMANJARO EXPRESS ila bei yao ni elfu 25 wakati KILIMANJARO EXP wanachaji hadi elfu 36.
Goodwill= ni kuuza kitu kwa kutumia ukubwa wa jina la kampuni ila bidhaa au huduma ni ile ile.
Mimi nimesoma Ifunda Tech kwenye baridi ada ilikuwa elfu 70 kwa mwaka nikapata division I na kuna mwingine kasoma Feza Boys kalipa ada milioni 6 kapata division I kama yangu.
aah sio kipimo lakini ni muhimu, mi nikisikia naitwa na mkurugenzi huwa naona kero, au tatizo likitokea kwake naona kero, jamaa mzungu alafuWeee ninatema yai mzungu akosome. Uliza debate za Tosamaganga, Iringa girls hadi Malangali nilikuwa nakimbiza.
Ila kusema ukweli English sio kipimo cha akili au maarifa. Zambia, Malawi, Zimbabwe wanaongea English nzuri kuliko Tanzania ila ni maskini wa kutupwa!
Ha ha ha hatari sana.aah sio kipimo lakini ni muhimu, mi nikisikia naitwa na mkurugenzi huwa naona kero, au tatizo likitokea kwake naona kero, jamaa mzungu alafu
yai lake vigumu kulielewa mpk aongee taratibu...heheheheheheee unaweza pishana na hela
Ha ha ha kweli mkuu, tunakula upepo ndani ya msitu.... na huwa tunaushukuru sana ule msitu wa posta kule.
Ila hiyo shule ya Instut Le Rosey sijapenda huo utaratibu wao wa kukaa hasa kipindi cha mitihani, maana kwenye pepa lolote laweza toke.
Hahaha huku tukisikiliza sauti za ndege kwa mbaali wakiimba.Ha ha ha kweli mkuu, tunakula upepo ndani ya msitu.
Malangali chamaWeee ninatema yai mzungu akosome. Uliza debate za Tosamaganga, Iringa girls hadi Malangali nilikuwa nakimbiza.
Ila kusema ukweli English sio kipimo cha akili au maarifa. Zambia, Malawi, Zimbabwe wanaongea English nzuri kuliko Tanzania ila ni maskini wa kutupwa!
Tutajie na mishahara ya walimu mkuu ili walimu wetu wakajaribu ajira huko.