heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,715
- 8,642
Tuliupa jina pumbu dizeaze
Je wanaume wanatakiwa kuvaa chupi au boksa?
Uchafu una account kidogo sana kwa matatizo ya fungushusababishwa na uchafu
mimi pia nilisoma boarding na sikua najifuta huko nikitoka kuoga ila sikuwahi kuupata
unatakiwa uwe unaoga mara kwa mara na uwe na boxer nyingi, nilikua nazo zaidi ya 5 na nilikua naanika juani, huu ugonjwa niliusikilizia tu kwa watu, na mpaka leo naeza kuoga nisijifute na taulo ila sijawahi kuumwa
Huenda ni GonoWanajamvi naombeni ushauri ngozi ya juu ya sehemu ya siri inachoma choma na kuminya raha kabisa tatizo ni nini ?
Ebu weka picha mkuuMsaada kwa yule anayejua dawa au tiba jamani,niko DAR ES SALAM huwa nikija dar huku ugonjwa huwa naupata abao na dalili zake .........
(1)muwasho
(2)maumivu
(3)kutoka kwa mabaka meusi kama unba sehemu za korodani
Maduka ya dawa zipo katika vichupa dawa ina rangi ya kijani inauzwa 2000 hiyo kiboko, ni ya kupaka uliza dawa ya mba
Kuna zile ambazo haziwashi wala kuuma lakini zinakuwa kama zinakula ngozi hivi...?Mkuu oga halafu paka limau kuzunguka sehemu husika.Hayo madudu utayasahau
Wewe ni ke?Msaada kwa yule anayejua dawa au tiba jamani,niko DAR ES SALAM huwa nikija dar huku ugonjwa huwa naupata abao na dalili zake .........
(1)muwasho
(2)maumivu
(3)kutoka kwa mabaka meusi kama unba sehemu za korodani
Fungus ndani ya uume unaijuaje na dalili zake ni kama zipi labda?