Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kama nakuona vile Mkuu umesepa darasani umejificha mahali unakuna pumbu kwa raha zako huku macho yakiwa busy kulinda usalama wa eneo. 🀣🀣

Huo ufala ulinipata nikiwa form 3 aisee acha kabisa.

Chanzo nilinunua boxer za mpira Ubungo pale. Zile boxer zilinisababishia hayo matatizo kende zikawa na rangi ya kungu flani na wingu jeusi jeusi usipime hayo maumivu yake. Ilikuwa class sikai halafu kipindi cha joto yanawasha kinoma

Likizo nilikuja nikapata cream na nikabadili boxers na kununua za cotton nikapona. Tangu na hapo sijawahi kulipata tena hilo gonjwa.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kama nakuona vile Mkuu umesepa darasani umejificha mahali unakuna pumbu kwa raha zako huku macho yakiwa busy kulinda usalama wa eneo. 🀣🀣
Nilikuwa Santana kwa muda
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
ukinipata mwezi wa 3 tu hapo....

Me nkaupotezea, usiku napiga gitaa hadi ngozi yote inatoka korodani znabak na ngo nyekundu kama inataka kutoa damu hivi... Nliacha tu maana hujaga na kupona wenyewe,

Kilichonikuta sasa kilinikimbiz pharamcy kununua cream ya kupaka.. Ilikua hivia bwana..

Nilienda bafun kuog sasa kila nkitafuta sabuni siioni, na nina haraka sana, nkatafta tafuta wapi, nkaona isiwe shida acha niogee ya unga...

Dk 2 mbele naanza kuhisi kama nachanwa chanwa na viwembe katika korodani, maumivu yake hakika ni kama zmekatwa na kunyofolewa kabisa..

Sio raggae sio kiduku vyote nilicheza... Ilipopoa chaap nko pgamacy siamini kama mzima
Dawa gani ulitumia?
 
Ila huu ugonjwa wakati unajikuna ni rahaaaa utamu nyie acheni tu. Pond boys Minaki kwa Jokate asalaam aleikum

Maji ya pondi yalitufanya vibaya sana. Me kuoga ilikuwa weekend nikidrop. Otherwise Nilikuwa naoga kutumia Newton’s law of cooling.
Bora wa pugu walikuwa wanaweza kwenda ktk private bafu kuoga.....
Na hii erosion haijaisha completely mpaka Leo ...
 
ila pumbu erosion huu ugonjwa nimecheka sana leo ila kiukweli muandika uzi una akili sana maana mm naona ndio naugua sasa hivi maana nawashwa kweli hadi kidonda kinatokea
 
Chuo hii kitu imenitesa sana nilinunuaga dawa inaitwa whitefields daah sasa ukioga pumbu linatoka ngozi ya juu juu inabaki ile ya ndani.yaani km fundi anavoziba pancha anasugua tairi ili apake dawa azibe sasa ndoivo inavokuwa.maumivu yake sio ya kitoto.yaani nilikuwa nikipaka naruka ruka na kuwasha feni huku mlango ukiwa umefungwa maana akija mtu ni aibu
 
Chuo hii kitu imenitesa sana nilinunuaga dawa inaitwa whitefields daah sasa ukioga pumbu linatoka ngozi ya juu juu inabaki ile ya ndani.yaani km fundi anavoziba pancha anasugua tairi ili apake dawa azibe sasa ndoivo inavokuwa.maumivu yake sio ya kitoto.yaani nilikuwa nikipaka naruka ruka na kuwasha feni huku mlango ukiwa umefungwa maana akija mtu ni aibu
 

Similar Discussions

13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom