Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,881
- 122,124
Lubricant inapunguza msuguano, powder ilikuwa inapunguza, sambamba na kunyonya unyevunyevuPowder nayo ni lubricant?
Lubricant inapunguza msuguano, powder ilikuwa inapunguza, sambamba na kunyonya unyevunyevuPowder nayo ni lubricant?
Kwasasa Lami inakupeleka hadi Matema Beach.. Kuna Hoteli nzuri sana hapo ipo ufukweni kabisa @120,000/= per day.. Chini ya Milima kama mkuu alivyoelezea hapo juu.Shukran kwa maelezo deep walau napata picha jinsi nilivyomiss bonge la fursa kufika huko
Mi sio wa juzi weweBas we ni wa juz
Hahahaaa pamoja sana mkuu Mwifwa ukichanganya yale maji ya bwawani na uchafu aisee P. Erosion ilikua Kama SI unit ya pond boy yeyote. Unajikuna wee mi nilikua hadi naokota vigunz kule kwa kinyogoli naenjoy. Ila ndo zinakua kama maini na maumiv makali baada ya hapo dah
Huu ugonjwa hatari sana mkuu
Huu ugonjwa hatari sana mkuu
Kuna jamaa eti alitoboa surual hewa iwe inaingia hafu no boksa
My ribs
Mimi hadi sasa sivaagi boksa kisa hii kitu
Mpaka asaivi unavaaga chupi?Pumbu erosion ni ugonjwa wa kuvu(fungus) unaowapata watu wenye kwenye mikunjo ya ngozi sehemu ya siri zenge joto na unyevunyevu…hasa kwenye mapumbu/korodani
Nilipokuwa sekondari niliwaji kupata na iilisababishwa na kuvaa chupi bila ya kujifuta maji mara baada ya kuoga au kujitawaza! Pia kurudia kuvaa chupi bila kufua. Kwa kifupi ni uchafu na unyevunyevu ndio haswa ndio visababishi vya kuwafanya kuvu (fungus) hao kuota na kukua.
Dalili ni hizo hizo kujikuna sana hata kujichubua ngozi na kusababisha majeraha ambayo hutoa majimaji na baadaye kuweka tabaka gumu ambalo pia huwasha sana.
Ukioga maji ya baridi utapata maumivu siyo ya dunia hii na hivyo unashauriwa kuoga maji ya vuguvugu! Mara unapooga zingatia kujifuta vizuri na upake antifungal powder na siyo dawa yoyote ya cream au majimaji.
Lengo ni kutengeneza mazingira makavu ktk maeneo ya sehemu za siri. Na kumbuka kupiga pasi taulo ili kuua kuvu wanaojishikisha kwenye taulo. Pia ukumbuke kuvaa chupi safi na kamwe usirudie kuvaa chupi chafu.
Dawa kama mycota powder ni kiboko kwa aina ya kuvu hawa na ukianza kuitumia matokea ni ndani ya masaa 24 hali inadarikia na unapomaliza wiki unakuwa na dalili za kupona kabisa. Lakini hata hivyo unapaswa uendelee na matibabu kwa takribani wiki mbili baada ya dalili zote kupotea.
Nawasilisha!
Kwa kuanza ungeanza na whitfield kwa wiki mbili kama hamna mabadiliko ndioo uanzw kutumia ant fungals
Boxer umeanza kuvaa mwaka gani(kuwa mkweli) halafu ukidanganya tu nakuumbua!!Mi sio wa juzi wewe
TehBoxer umeanza kuvaa mwaka gani(kuwa mkweli) halafu ukidanganya tu nakuumbua!!
Duuuh! 2004!Teh
Niumbue mkuu
Nmeanza 2004
Sikua tanzaniaDuuuh! 2004!