Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

kwa wale wa "MATEMA BEACH HIGH SCHOOL" form six class of 201* hii kitu kwao sio ngeni kabisa, ase unanikumbusha ugonjwa huu ulisumbua Sana watu kitambo hiyo na sababu kuu ya huu ugonjwa mm nuliona unasababishwa na maji yaliyokuwa yakitumika

Ase asikwambie mtu bob kile kipindi shule inakaribia kufungwa vile uko na kipururu and at the some time uko na pumbu erosion lina kuwa jambo la aibu Sana kwa mchumba
Boss nilichaguliwaga hiyo shule a level ila sikwenda nikapiga private hapa hapa mtaani,,, mkuu walau nielezee kdgo kuhusu hiyo shule maana nilitaka sana kuja ila wazee wangu wakagoma
 
Ugonjwa Mbaya Sana Huu, Pumbu Zinawasha Balaa, ukipaka spirit utacheza dansi bila ala. Nilfikiri chanzo ni yale makopo ya kutawazia ya vyoo vya uswazi. Huu Ugonjwa Ukimpata Mwanamke Kwenye Dudu lake ni balaa kubwa kujikuna huko ndani kwa muwasho atakaoupata ni siri yake
 
Ugonjwa Mbaya Sana Huu, Pumbu Zinawasha Balaa, ukipaka spirit utacheza dansi bila ala. Nilfikiri chanzo ni yale makopo ya kutawazia ya vyoo vya uswazi. Huu Ugonjwa Ukimpata Mwanamke Kwenye Dudu lake ni balaa kubwa kujikuna huko ndani kwa muwasho atakaoupata ni siri yake
 
e e e e ehhh usiombe hii kitu

temeni mate chini

mimi pumbu lilichubuka ngozi likawa loteee jekundu kama nyanya iliyotolewa ganda la juu.

unatembea umeachama minguu nyuzi 90 kwa sababu likigusa tu ngozi ni umemwagia pilipili.

pumbu erosion iacheni tu wazee....

jamani sikuamini kama nilipona mmong'onyoko wa pumbu.
 
e e e e ehhh usiombe hii kitu

temeni mate chini

mimi pumbu lilichubuka ngozi likawa loteee jekundu kama nyanya iliyotolewa ganda la juu.

unatembea umeachama minguu nyuzi 90 kwa sababu likigusa tu ngozi ni umemwagia pilipili.

pumbu erosion iacheni tu wazee....

jamani sikuamini kama nilipona mmong'onyoko wa pumbu.
Mmmmhh!! Watu mnapitia magumu sana!!
 
ukinipata mwezi wa 3 tu hapo....

Me nkaupotezea, usiku napiga gitaa hadi ngozi yote inatoka korodani znabak na ngo nyekundu kama inataka kutoa damu hivi... Nliacha tu maana hujaga na kupona wenyewe,

Kilichonikuta sasa kilinikimbiz pharamcy kununua cream ya kupaka.. Ilikua hivia bwana..

Nilienda bafun kuog sasa kila nkitafuta sabuni siioni, na nina haraka sana, nkatafta tafuta wapi, nkaona isiwe shida acha niogee ya unga...

Dk 2 mbele naanza kuhisi kama nachanwa chanwa na viwembe katika korodani, maumivu yake hakika ni kama zmekatwa na kunyofolewa kabisa..

Sio raggae sio kiduku vyote nilicheza... Ilipopoa chaap nko pgamacy siamini kama mzima

Haki nimechekaaaaaa
 
Pumbu erosion ni ugonjwa wa kuvu(fungus) unaowapata watu wenye kwenye mikunjo ya ngozi sehemu ya siri zenge joto na unyevunyevu…hasa kwenye mapumbu/korodani
nilipokuwa sekondari niliwaji kupata na iilisababishwa na kuvaa chupi bila ya kujifuta maji mara baada ya kuoga au kujitawaza! Pia kurudia kuvaa chupi bila kufua…kwa kifupi ni uchafu na unyevunyevu ndio haswa ndio visababishi vya kuwafanya kuvu (fungus) hao kuota na kukua.
dalili ni hizohizo kujikuna sana hata kujichubua ngozi na kusababisha majeraha ambayo hutoa majimaji na baadaye kuweka tabaka gumu ambalo pia huwasha sana. Ukioga maji ya baridi utapata maumivu siyo ya dunia hii na hivyo unashauriwa kuoga maji ya vuguvugu! Mara unapooga zingatia kujifuta vizuri na upake antifungal powder na siyo dawa yoyote ya cream au majimaji. lengo ni kutengeneza mazingira makavu ktk maeneo ya sehemu za siri. na kumbuka kupiga pasi taulo ili kuua kuvu wanaojishikisha kwenye taulo. Pia ukumbuke kuvaa chupi safi na kamwe usirudie kuvaa chupi chafu.
Dawa kama mycota powder ni kiboko kwa aina ya kuvu hawa na ukianza kuitumia matokea ni ndani ya masaa 24 hali inadarikia na unapomaliza wk unakuwa na dalili za kupona kabisa. Lakini hata hivyo unapaswa uendelee na matibabu kwa takribani wiki mbili baada ya dalili zote kupotea.
Nawakirisha!
Je wanaume wanatakiwa kuvaa chupi au boksa?
 
Hahaha kweli pumbu mmomonyoko

1122195
 
Toilet paper ni muhimu chooni, hata kama unajisafisha na maji, jikaushe na toilet paper.

Wengine wanakuwa na ki face towel bafuni kwa kwa shughuli hiyo.

Ni muhimu pia kuvaa boxers za cotton.
 
mbona watu tunamaliza wiki 4 na kaboxer kamoja na hatupati hizo vitu??

kwahiyo mkuu siku hiyo ulikuwa comfortable kabisa baada ya kuweka boxer kwenye begi??

Atakuwa ana vidonda huyo, siku mbili nakataa.

In fact, wakati niko boarding, huu ugonjwa ulikuwa haukalishi nimevaa chupi au sijavaa, ulikuwa lazima unijie. Nikirudi likizo napona hata bila kutumia dawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom