futurestar
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 245
- 77
hizi cream ndio kama Clotrimazole ,Nizoral,Ketoconazole ama ni tofauti ???Ukipata cream jamii ya allylamines kwenye pharmacy kubwa itakufaa sana.
Ukioga hakikisha umejikausha kabisa na taulo
Usishirikiane taulo na mtu mwingine na ufue kila wiki na kulianika juani.
Paka dawa mara mbili au tatu kwa siku, asubuhi ukiamka, lunch time na kabla hujalala.
Vaa boxers za cotton.
naomba kujua