Ifahamu PROM NIGHT, tamasha kubwa la kutoana bikra linaloandaliwa mashuleni kila mwaka huko Marekani

Tamasha hili huandaliwa maalum kabisa kwa ajili ya wanafunzi wa 'high school seniors / juniors' ambao wanamaliza shule na hivyo hukusanyika kama njia moja wapo ya kuagana na kupongezana.

Katika hatua za awali za Tamasha hili huanza kwa kupiga picha za pamoja baina ya marafiki na wapenzi wanaomaliza shule pamoja na kusaini 'year books', pia huusisha uchezaji wa dansi/disko baina ya wanafunzi na wapenzi wao hapo shuleni.

Matamasha mengi japo si kwa utaratibu, baada ya muda wa kawaida kuisha, basi wanafunzi hushughulika na unywaji pombe wa kupitiliza na baada ya kulewa ipasavyo, wale ambao wanakuwa wameapa kutoa bikra zao siku hiyo, wavulana kwa wasichana, huwa wanakamatana pair kwa pair na kutafuta chobingo ambapo hutoana bikra kwani wengi huona aibu kwenda 'college' wakiwa bado 'watoto'.

Vijana wengi sana husubiria tukio hili kwa hamu kubwa sana ila inasemekana unywaji pombe kupita kiasi hupelekea drink driving na hivyo wengi kupoteza maisha katika ajali za barabarani, hivyo wazazi huombwa kuchukua tahadhari.

From Shithole USA
Hilo sio lengo la Prom Night, But Ni matukio tu yanayotokea kutokana na akili za mwanafunzi wenyewe kutaka kufanya hayo. Ukichangiwa zaidi na msukumo wa umri kiteenager kutaka kujaribu kila kitu.

Lengo la Prom ni kuagana Kama wanafunzi ndio Maana hata wazazi hubariki na kuruhusu watoto wa kwenda.

Unadhani mzazi gani angeruhusu Mtoto wake kwenda Kama lengo lingejulikana Ni kushiriki Ngono.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hiyo haiwezi kufanya kazi tanzania.vitoto vya darasa la tano Ni haba kukutaa vina bikiraa ....
 
Hilo sio lengo la Prom Night, But Ni matukio tu yanayotokea kutokana na akili za mwanafunzi wenyewe kutaka kufanya hayo. Ukichangiwa zaidi na msukumo wa umri kiteenager kutaka kujaribu kila kitu.

Lengo la Prom ni kuagana Kama wanafunzi ndio Maana hata wazazi hubariki na kuruhusu watoto wa kwenda.

Unadhani mzazi gani angeruhusu Mtoto wake kwenda Kama lengo lingejulikana Ni kushiriki Ngono.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ndio lengo la washiriki...,
 
Back
Top Bottom