JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
• Kuzingatia Katiba na sheria za nchi;
• Kutenda haki kwa wote bila ya kujali hali ya mtu kijamii au
kiuchumi;
• Kutochelewesha haki bila sababu ya msingi;
• Kutoa fidia stahiki kwa watu wanaoathirika kutokana na makosa
ya watu wengine;
• Kukuza na kuendeleza usuluhishi baina ya wanaohusika katika
migogoro;
• Kutenda haki bila kufungwa kupita kiasi na masharti ya kiufundi
yanayoweza kukwamisha haki kutendeka; na
• Kuzingatia kanuni za haki ya asili (natural justice).