The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,380
- 8,435
- Thread starter
- #81
Kisa Mwanza na Simiyu wanapumulia mashine au?Report isiyo na fact hata kidogo
Kisa Mwanza na Simiyu wanapumulia mashine au?Report isiyo na fact hata kidogo
Huu Ni ujinga sasa.Una uhakika Gani mwanza Kuna ghorofa 2400 ripoti ipo bias na inakosa logic za kuifanya iwe na facts
Kwanza hawajatuambia ni ghorofa Gani zilizopo .mfano Zanzibar na Tanga Kuna maghofu yale ya waarabu nayo yamekuwa included...hapo ukija kufanya filters nzuri miji inayobaki kuwa na maghorofa ambayo yako potential and active ni dar , Arusha na mwanza..
Duu unamaanisha Nini?Mbeya inatafuta nini hapo
Mbeya nafuu na iriga sijui kama ghorofa zimefika 20 mwaka huuDuu unamaanisha Nini?
Tofauti ya Dar na Arusha ni kubwa sana.Tuna safari ndefu sanaMapema mwezi wa 8 2022 Kulifanyija sensa ya watu na makazi na matokeo take kutoelewa mwezi wa 10.
Kwa Mujibu wa Matokeo ya sensa,Mikoa 10 ambayo Ina majengo mengi ya maghorofa kwa maana ya makazi, biashara na Taasisi Ni Kama ifuatavyo:
1. Dar es Salaam-32,219
2. Arusha-7,180
3. Tanga-4,282
4. Kilimanjaro-3,540
5. Mwanza-2,481
6. Pwani-1,885
7. Dodoma-1,461
8. Morogoro-1,331
9. Mbeya-1,073
10. Kagera-702.
My Take.
Hii inaonesha pia Hali za maisha za Wananchi wa maeneo husika.
View attachment 2427153
Source:NBS
Ndiyo, yao mengi yako vijijini kwenye migomba.Kilimanjaro wana maghorofa mengi kushinda Mwanza?
Kufika 20 unamaanisha Nini? Mpya zinazoendelea na ujenzi au?Mbeya nafuu na iriga sijui kama ghorofa zimefika 20 mwaka huu
Unashindwa kufikiria kwamba nyingine zilikuwa ofisi za serikali .Yaani ukijumlisha majengo ya ghorofa ya Mikoa yote Tanzania bado haifikii kwa Dar..
Aisee Dar ndio Tanzania asikwambie mtu.
Kwani zikiwa ofisi za Serikali ndio Nini? Wewe ndio huna akili ,hizo ofisi za Serikali Mikoa mingine hazipo?Unashindwa kufikiria kwamba nyingine zilikuwa ofisi za serikali .
Hapa umeongea nn?Kwanza jirekebishe sio kua kujenga nyumba za kawaida ndio utajiri, asili ya gorofa ilianzia huko ulaya kwenye uhaba wa ardhi, baadae kwetu ikaja ikawa fashion pamoja na uwekezaji, lakini pia ujenge apartment ya gorofa muleba nani atakuja kurent?
Dar ni kubwa sana kimaendeleo, lakini sio Haba Arusha nayo inachanua sio jambo Rahisi kua hapo no2... Mwanza ndio Aibu tupu sijawaelewaTofauti ya Dar na Arusha ni kubwa sana.Tuna safari ndefu sana
Pwani Ni kubwa na hiyo Ni Idadi ya majengo ya ghorofa Mkoa mzimaPwaniiiii? Hii ya vijumba vya makuti?
Mkuu haelewi kwamba kuna sehemu za Bunju na Mbweni zilizo mkoa wa Pwani.Pwani Ni kubwa na hiyo Ni Idadi ya majengo ya ghorofa Mkoa mzima
Kagera na nyie muna magorofa kama ya Arusha na Dar?Si wanasemaga kagera ni maskini kuliko pote tz...
Hayo maghorofa yote yametoka wap tena?
Bukoba mbona maghorofa machache sanw
Swali la ajabu! Yako Tanga.yako wapi haya?
Hoja ni ghorofa.hata yale ya udongo yamehesabiwa