Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,187
- 42,013
Vyote ni sawa hata grade,kiasi na aina ya madini ilitakiwa wao ndio wawe wa kwanza kutambua...Nilivyoelewa mimi ni kwamba.. rioort imeonyesha upotevu wa madini yenye thamani ya billions to trilioni. Hivyo rais kuona hvyo akaamua kushughulika na wahusika waliopewa hiyo kazi ya kusimamia madini nchini ikihusisha waziri wa wizara husika na TMAA. Labda nitakuw nmeweza kukuelewesha mkuu ??