Ifahamu dhambi ya mtu mmoja ilivyoiangamiza familia nzima

Online Pastor

JF-Expert Member
Sep 7, 2017
1,948
1,515
Mji wa kwanza kutekwa na Waisraeli baada ya kuuvuka mto Yordani ulikuwa Yeriko.
Na Mungu aliwaagiza kuwa kila watakapouvamia mji wa Kaanani ni sharti waangamize vyote watakavyovikuta kwenye miji isipokuwa vito vya thamani ambavyo sharti ilibidi viwekwe kwenye hema ya kukutania.


Kwa kutii agizo hili mji wa Yeriko ulianguka na Waisraeli kushinda kirahisi.


Mji uliofuata kuvamia ulikuwa ni mji mdogo wa Ai.

Yoshua akiamini kuwa atashinda kirahisi alituma jeshi dogo la Waisraeli 2000 ambao waliishia kutwangwa na kupepetwa na Waisraeli 36 kufariki hapohapo.
Ilipopitishwa sensa ya kubaini chanzo cha kushindwa vita,ikaonekana kuwa kuna mtu aliiba vito mjini Yeriko.Mtu huyo alikuwa Akani,ambaye ilibidi auwawe yeye na familia yake.

TUNAJIFUNZA NINI?
Kuna mikosi,laana,na shida ambavyo vinatukabili leo kutokana na dhambi za ndugu,jamaa na marafiki zetu.Hivyo tujifunze kumuuliza roho mtakatifu kila tunaposhindwa kufanikiwa ili tujue kama chanzo ni siye,Mungu,Shetani au ndugu zetu

REFFERENCES
YOSHUA 7
 
Mji wa kwanza kutekwa na Waisraeli baada ya kuuvuka mto Yordani ulikuwa Yeriko.
Na Mungu aliwaagiza kuwa kila watakapouvamia mji wa Kaanani ni sharti waangamize vyote watakavyovikuta kwenye miji isipokuwa vito vya thamani ambavyo sharti ilibidi viwekwe kwenye hema ya kukutania.


Kwa kutii agizo hili mji wa Yeriko ulianguka na Waisraeli kushinda kirahisi.


Mji uliofuata kuvamia ulikuwa ni mji mdogo wa Ai.

Yoshua akiamini kuwa atashinda kirahisi alituma jeshi dogo la Waisraeli 2000 ambao waliishia kutwangwa na kupepetwa na Waisraeli 36 kufariki hapohapo.
Ilipopitishwa sensa ya kubaini chanzo cha kushindwa vita,ikaonekana kuwa kuna mtu aliiba vito mjini Yeriko.Mtu huyo alikuwa Akani,ambaye ilibidi auwawe yeye na familia yake.

TUNAJIFUNZA NINI?
Kuna mikosi,laana,na shida ambavyo vinatukabili leo kutokana na dhambi za ndugu,jamaa na marafiki zetu.Hivyo tujifunze kumuuliza roho mtakatifu kila tunaposhindwa kufanikiwa ili tujue kama chanzo ni siye,Mungu,Shetani au ndugu zetu

REFFERENCES
YOSHUA 7
Kama ndo kweli basi Kazi IPO,tena kweli kweli...
Maana kama binadamu ujue hakuna msafi sasa kubebeana dhambi au eti ndo matokeo ya dhambi ,tunaadhibiwa kwa makosa ya wengine?!
Ile ya 'kila MTU atauchukua mzigo wake mwenyewe ' imewekwa pending au ?!
Hayo yalikuepo kabla ya yesu ,kwa sasa imebaki historia tu!
Unahukumiwa kwa kosa lako mwenyewe...
Waumini someni wenyewe biblia sio msubiri kutafsiriwa wengine wana tia yao hapo ili muishi kwa hofu sadaka ziongezeke!

Wajinga ndo waliwaooooh
 
Huyo
Mji wa kwanza kutekwa na Waisraeli baada ya kuuvuka mto Yordani ulikuwa Yeriko.
Na Mungu aliwaagiza kuwa kila watakapouvamia mji wa Kaanani ni sharti waangamize vyote watakavyovikuta kwenye miji isipokuwa vito vya thamani ambavyo sharti ilibidi viwekwe kwenye hema ya kukutania.


Kwa kutii agizo hili mji wa Yeriko ulianguka na Waisraeli kushinda kirahisi.


Mji uliofuata kuvamia ulikuwa ni mji mdogo wa Ai.

Yoshua akiamini kuwa atashinda kirahisi alituma jeshi dogo la Waisraeli 2000 ambao waliishia kutwangwa na kupepetwa na Waisraeli 36 kufariki hapohapo.
Ilipopitishwa sensa ya kubaini chanzo cha kushindwa vita,ikaonekana kuwa kuna mtu aliiba vito mjini Yeriko.Mtu huyo alikuwa Akani,ambaye ilibidi auwawe yeye na familia yake.

TUNAJIFUNZA NINI?
Kuna mikosi,laana,na shida ambavyo vinatukabili leo kutokana na dhambi za ndugu,jamaa na marafiki zetu.Hivyo tujifunze kumuuliza roho mtakatifu kila tunaposhindwa kufanikiwa ili tujue kama chanzo ni siye,Mungu,Shetani au ndugu zetu

REFFERENCES
YOSHUA 7
Huyo Mungu ndiyo alikuwa akiamrisha mauwaji namna hiyo? Haya machafuko yoote ukiangalia kwa undani mara nyingi chanzo ni huyohuyo Mungu, ili kurudisha amani duniani yatupasa tumsambaratishe kwanza huyu Mungu, maana maelekezo yake ni Jinai.
 
Mine eyes

"...Usiviinamie wala
kufanywa uvitumikie, kwa
sababu mimi Yehova Mungu
wako ni Mungu anayetaka watu
wajitoe kikamili, ninayeleta
adhabu kwa ajili ya kosa la akina
baba juu ya wana na juu ya
kizazi cha tatu na juu ya kizazi
cha nne, kwa wale
wanaonichukia..."


Kumbukumbu la Torati 5:9
 
Ancient Jewish bed time stories. Tutafanyaje sasa hamna namna nikukubali kwani walishawahi n wakatubrainwash pamoja Na Yale yanaoishi jangwani
 
Mji wa kwanza kutekwa na Waisraeli baada ya kuuvuka mto Yordani ulikuwa Yeriko.
Na Mungu aliwaagiza kuwa kila watakapouvamia mji wa Kaanani ni sharti waangamize vyote watakavyovikuta kwenye miji isipokuwa vito vya thamani ambavyo sharti ilibidi viwekwe kwenye hema ya kukutania.


Kwa kutii agizo hili mji wa Yeriko ulianguka na Waisraeli kushinda kirahisi.


Mji uliofuata kuvamia ulikuwa ni mji mdogo wa Ai.

Yoshua akiamini kuwa atashinda kirahisi alituma jeshi dogo la Waisraeli 2000 ambao waliishia kutwangwa na kupepetwa na Waisraeli 36 kufariki hapohapo.
Ilipopitishwa sensa ya kubaini chanzo cha kushindwa vita,ikaonekana kuwa kuna mtu aliiba vito mjini Yeriko.Mtu huyo alikuwa Akani,ambaye ilibidi auwawe yeye na familia yake.

TUNAJIFUNZA NINI?
Kuna mikosi,laana,na shida ambavyo vinatukabili leo kutokana na dhambi za ndugu,jamaa na marafiki zetu.Hivyo tujifunze kumuuliza roho mtakatifu kila tunaposhindwa kufanikiwa ili tujue kama chanzo ni siye,Mungu,Shetani au ndugu zetu

REFFERENCES
YOSHUA 7
Watu wengi tunatembea na mikosi ama laana za mababu; laana hizi huambukiza kizazi hata cha tatu na nne. Kila siku ni majanga na wewe alaa kumbe babu wa babu yako alikuwa jambazi, mbakaji, muuaji ama mchawi nguli. Kuziondoa hizi huwa ni kazi ngumu saana.
 
Back
Top Bottom