carnte
JF-Expert Member
- Aug 8, 2017
- 362
- 425
Mungu hasemi kuwa atawaangamiza kizazi cha NNE na cha tatu,Anaelezea ukubwa/magnitude ya hasira yake kwa dhambi iliyotajwa hapo juu kwa watakao mkosea...sawa na kusema kuwa mzazi anakuadhibu anakuambia na Leo ntamalizia hasira yangu yote na ya makosa ya nyuma
Rej pia Yoh 9:1-3
Mungu sio asiye na huruma kiasi hiko,sisi wenyewe tuu hatuwezi kukamilika ndio aguse na makosa ya babu zetu???
Mengine magumu yanatupata ili Mungu Ajichukulie utukufu yamkini tuu tumekuwa na tunabaki waaminifu kwake