Dhahabu ya Kijani (Green Gold) ni zao linalostawi vizuri katika maeneo yenye milima zenye mvua nyingi angalau nusu mwaka. Afrika mashariki linastawi vizuri katika nchi za Tanzania, Uganda Burundi na Rwanda zina utajiri mkubwa kutokana na ardhi yake kukubali kustawi kwa wingi Matunda ya Maparachichi.
Parachichi la Tanzania linatajwa kuwa bora Zaidi na linalopendwa Zaidi katika masoko ya Ulaya.
Green Gold ya Tanzania ni zao ambalo litaifanya Tanzania kumaliza kabisa tatizo la umasikini kutokana na uhitaji Mkubwa katika soko la Ulaya kwa sasa.
Ukitoa Kenya kuwa msafirishaji Mkubwa wa Maparachichi yanayozalishwa Tanzania, lakini pia Nchi ya Nigeria na Uganda kwa uwekezaji zinatarajiwa Miaka 10 baadaye zitakuwa moja ya Mataifa makubwa yanayozalisha kwa wingi Maparachichi na kusafirisha nje ya nchi.
Kwa hali ya sasa Kilimo cha Parachichi ni cha uhakika na chenye faida kubwa, ambapo kwa nchi kama Marekani peke yake matumizi ya Parachichi kwa kila raia wake imeongezeka kwa asilimia 406 kuanzia 1990 hadi 2017.
Kutokana na uhitaji mkubwa wa Parachichi Duniani, nchi ya Uganda imedhamiria kuwahamasisha Wakulima Wadogo kuwa wazalisha wakubwa wa zao la Parachichi waweze kufikia asilimia 75, huku Wakulima wa Mashamba makubwa wenyewe wazalishe kwa asilimia 25 na lengo ni kuhakikisha wananchi wa hali ya chini nchini Uganda wanajiingiza kwenye Kilimo hicho ili kukuza uchumi wa wananchi kuuza bidhaa zao nje ya nchi.
Tanzania ni moja ya eneo bora katika mikoa ya Mbeya, Iringa, njombe, Ruvuma, rukwa , Katavi, Arusha ,Kilimanjaro, Tanga, Kagera, Mara na Morogoro yamebarikiwa ardhi yenye rutuba likatostawi zao la Parachichi.
Watanzania hawana budi kuitumia fursa hii ya kwa kulima Dhahabu ya Kijani (Maparachichi), kutokana na uhitaji wake kwa sasa katika nchi za Asia, Ualaya na Marekani
Bila kusahau Rais waTanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anahamaisha sana uwekezaji na Kilimo chenye tija, na moja ya maeneo ambayo ameyatazama sana na kuyapa kipaumbele ni Kilimo cha Miti ya Matunda ambayo yatakuwa yanasafirishwa nje ya nchi.
Parachichi la Tanzania linatajwa kuwa bora Zaidi na linalopendwa Zaidi katika masoko ya Ulaya.
Green Gold ya Tanzania ni zao ambalo litaifanya Tanzania kumaliza kabisa tatizo la umasikini kutokana na uhitaji Mkubwa katika soko la Ulaya kwa sasa.
Ukitoa Kenya kuwa msafirishaji Mkubwa wa Maparachichi yanayozalishwa Tanzania, lakini pia Nchi ya Nigeria na Uganda kwa uwekezaji zinatarajiwa Miaka 10 baadaye zitakuwa moja ya Mataifa makubwa yanayozalisha kwa wingi Maparachichi na kusafirisha nje ya nchi.
Kwa hali ya sasa Kilimo cha Parachichi ni cha uhakika na chenye faida kubwa, ambapo kwa nchi kama Marekani peke yake matumizi ya Parachichi kwa kila raia wake imeongezeka kwa asilimia 406 kuanzia 1990 hadi 2017.
Kutokana na uhitaji mkubwa wa Parachichi Duniani, nchi ya Uganda imedhamiria kuwahamasisha Wakulima Wadogo kuwa wazalisha wakubwa wa zao la Parachichi waweze kufikia asilimia 75, huku Wakulima wa Mashamba makubwa wenyewe wazalishe kwa asilimia 25 na lengo ni kuhakikisha wananchi wa hali ya chini nchini Uganda wanajiingiza kwenye Kilimo hicho ili kukuza uchumi wa wananchi kuuza bidhaa zao nje ya nchi.
Tanzania ni moja ya eneo bora katika mikoa ya Mbeya, Iringa, njombe, Ruvuma, rukwa , Katavi, Arusha ,Kilimanjaro, Tanga, Kagera, Mara na Morogoro yamebarikiwa ardhi yenye rutuba likatostawi zao la Parachichi.
Watanzania hawana budi kuitumia fursa hii ya kwa kulima Dhahabu ya Kijani (Maparachichi), kutokana na uhitaji wake kwa sasa katika nchi za Asia, Ualaya na Marekani
Bila kusahau Rais waTanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anahamaisha sana uwekezaji na Kilimo chenye tija, na moja ya maeneo ambayo ameyatazama sana na kuyapa kipaumbele ni Kilimo cha Miti ya Matunda ambayo yatakuwa yanasafirishwa nje ya nchi.