Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,549
- 6,097
'Airbus H225' maarufu Super Puma kwa sasa Cougar ni helicopter inayoundwa na kampuni ya Airbus {#Eurocopter} barani Ulaya.
Imeanza kuundwa rasmi miaka ya 2000 ikiwa ni muendelezo wa maboresho ya hali ya juu katika kizazi cha 'Helicopter' ya awali aina ya Eurocopter #As332.
'Helicopter' hii ina matoleo mawili, ya kawaida H225 na ya kijeshi H225M. Imeundwa maalum kwa ajili ya usafirishaji abiria na mizigo kwenda umbali mrefu katika hali ya hewa zote kwa kutunia mafuta kidogo.
Pia mahususi zaidi kwa kazi za uokoaji {#search & #rescue}, Zimamoto, usafirishaji watu mashuhuri {#VIP}, usafirishaji katika vituo vya uchimbaji mafuta {#offshore_Oil_transport}, ulinzi na usalama katika bahari {#coastguard} n.k
Ni Helicopter yenye teknolojia ya kisasa ikiwemo #autopilot na nguvu kubwa inayozalishwa na injini mbili aina ya 'Turbomeca Makila.
Ina uwezo wa kubeba mzigo unaoning'inia nje {#slingload} tani 4.7 na kawaida tani 5.4
Kwa matoleo ya kijeshi #H225M au #EC725 uboreshaji na ufanisi ni mkubwa zaidi kutoka kwenye ubebaji mizigo #CargoHelicopter {#CH} na kuwa #UtilityHelicopter {#UH} kufanya kazi zote {#Multirole} kwa kupachikwa silaha {#Combat_SAR} na kusonga katika uwanja wa vita pasipo shaka.
Uwezo:
Kasi ya juu: hadi 315km/h
Umbali: km 984
Kimo: futi 19,000
Panga: 5 juu, 04 mkiani
Injini: 02 #Safran #Turbomeca #Makila2A1
Mafuta: 684 lbs
Abiria: 19 kawaida, 28 mkao wa kijeshi.
Bei/Mtandaoni: U$d Mil.28
Katika jambo kubwa ambalo #Amir_jeshi mkuu/Jeshi la wananchi #Tanzania {#jwtz/#tpdf/#tafc} limeonesha ubavu ni kuwa na Helicopter hizi mbili.
Hizi ni helicopter zinazotumiwa na mataifa makubwa kama:
#England
#Spain
#Japan
#France
#Denmark
#Norway
#Ukraine
#China
#Argentina
#Vietnam,
#Mexico n.k
Taarifa kutoka,
Airbus na wikipedia.View attachment 1519945
Imeanza kuundwa rasmi miaka ya 2000 ikiwa ni muendelezo wa maboresho ya hali ya juu katika kizazi cha 'Helicopter' ya awali aina ya Eurocopter #As332.
'Helicopter' hii ina matoleo mawili, ya kawaida H225 na ya kijeshi H225M. Imeundwa maalum kwa ajili ya usafirishaji abiria na mizigo kwenda umbali mrefu katika hali ya hewa zote kwa kutunia mafuta kidogo.
Pia mahususi zaidi kwa kazi za uokoaji {#search & #rescue}, Zimamoto, usafirishaji watu mashuhuri {#VIP}, usafirishaji katika vituo vya uchimbaji mafuta {#offshore_Oil_transport}, ulinzi na usalama katika bahari {#coastguard} n.k
Ni Helicopter yenye teknolojia ya kisasa ikiwemo #autopilot na nguvu kubwa inayozalishwa na injini mbili aina ya 'Turbomeca Makila.
Ina uwezo wa kubeba mzigo unaoning'inia nje {#slingload} tani 4.7 na kawaida tani 5.4
Kwa matoleo ya kijeshi #H225M au #EC725 uboreshaji na ufanisi ni mkubwa zaidi kutoka kwenye ubebaji mizigo #CargoHelicopter {#CH} na kuwa #UtilityHelicopter {#UH} kufanya kazi zote {#Multirole} kwa kupachikwa silaha {#Combat_SAR} na kusonga katika uwanja wa vita pasipo shaka.
Uwezo:
Kasi ya juu: hadi 315km/h
Umbali: km 984
Kimo: futi 19,000
Panga: 5 juu, 04 mkiani
Injini: 02 #Safran #Turbomeca #Makila2A1
Mafuta: 684 lbs
Abiria: 19 kawaida, 28 mkao wa kijeshi.
Bei/Mtandaoni: U$d Mil.28
Katika jambo kubwa ambalo #Amir_jeshi mkuu/Jeshi la wananchi #Tanzania {#jwtz/#tpdf/#tafc} limeonesha ubavu ni kuwa na Helicopter hizi mbili.
Hizi ni helicopter zinazotumiwa na mataifa makubwa kama:
#England
#Spain
#Japan
#France
#Denmark
#Norway
#Ukraine
#China
#Argentina
#Vietnam,
#Mexico n.k
Taarifa kutoka,
Airbus na wikipedia.View attachment 1519945