Hii gari nimeona kuna mwamba juzi mitaa ya kimanga same car same color na namba pia ni recent. Kwa muonekano mbele ni zuri ila huku nyuma ndio wameifanya iboe.
Wameibinua sana they could have let it be on a proportional height kama Aristo tu. Wenye nazo mlete ushuhuda kama hizo figure ni halisi au ndio zinapimwa gari ikiwa 0 kms tu. Maana lazma hapo hio itakuwa imesaga zaidi ya 100,000kms.
 
Safi
KIMOMWE MOTORS (T) Ltd waagizaji wa magari tunakufahamisha machache kwa ufupi

Injini na Mafuta
Gari hii inakuja na injini 2. Moja ina Cc 1500 na nyingine Cc 1800 zote zikiwa na mfumo wa Hybrid unaowezesha gari kutumia mafuta kidogo zaidi huku umeme ukitumika zaidi.

Injini ndogo ya Cc 1500 inaelezewa kwenda zaidi ya Kilomita 38 wakati injini ya Cc 1500 inaenda kilomita 34 kwa lita.


Utulivu/ Comfortability
Kwa ujumla gari hii ina utulivu wa wastani kama ilivyo kwa gari nyingine za Toyota za saizi yake na hiyo kuiwezesha kwenda mwendo mpaka 140 bjla kuyumba yumba na kwenye njia za vumbi pia ina utulivu wa wastani.

Ziada
Gari hii ina Camera angavu wakati unarudi nyuma, ina options kwenye usukani za kukuwezesha kupokea sim, kubadiri radio na kuzima na kuwasha AC

Vifaa
Vifaa vyake vinapatikana kwa gharama za wastani japo sio kwa wingi sana kwa sababu gari hizi hazijawa nyingi hapa Tanzania kutokana na bei yake hapo awali ilikua juu sana kuliko sasa.

Mafundi
Mafundi wa magari mengine ya Toyota ndio pia hutengeneza gari hizi hivyo mafundi wapo, kwa upande wa umeme kwa sasa mafundi wengi wa umeme wana vifaa vya muundo wa kompyuta inayowezesha kugundua tatizo na kulishughulikia.

Gharama
Kwa kuagiza gharama zote kwa sasa zinaanzia kwenye 13,800,000.

Zaidi tembelea ofisi zetu za Dar es Salaam- Magomeni Mapipa au Mbeya- Mwanjelwa Soko Jipya

Au piga 0746 267740 au 0719 989222.

View attachment 1683218View attachment 1683219View attachment 1683220View attachment 1683221View attachment 1683222View attachment 1683223View attachment 1683224View attachment 1683225View attachment 1683226View attachment 1683227View attachment 1683228
 
Naomba ufafanu I juu ya Mark II Grande gx 110; bei yake, uimara wake, spea, Na matumizi ya mafuta. Maana naambiwa kuwa hii gari inakunywa mafuta Sana.
 
Salam
Sifa za gari

Injini

Injini yake ina Cc 2000 . Mara nyingi unashauriwa kupata hii ya Cc 2000 isiyo na Turbo kwa kua ina matumizi madogo ya mafuta lakini pia nguvu yake bado ni kubwa na hivyo kuipa gari mwendo huku ukiepukana gharama za Turbo. Cc 2000 kwa wastani inaenda kilomita 12.2.

Vifaa na mafundi

Kwa sasa tofauti na zamani vifaa vimekua vingi kwa bei za wastani lakini pia uimara wa vifaa hivi ni mkubwa, kwa sasa mafundi wa gari hizi wanazidi kupatikana katika mikoa mingi Tanzania kama Dar, Dodoma, Mwanza, Arusha, Mbeya n.k

Utulivu

Iwapo kwenye mwendo gari hii imetulia sana kwa kua ipo chini kiasi tofauti na gari nyingine zilizonyanyuka juu, na unaweza kukata nayo kona ikiwa hata kwenye speed 160.
Gharama

Gharama zote za kuagiza gari hiyo pichani ni 12,850,000, malipo ya awali ni 5,800,000

Zaidi tembelea ofisi zetu za Mbeya na Dar au piga 0746 26 77 40 au 0719 989 222

AA523A01-8310-4D79-BF86-B635AF1B0878.jpeg
79B31BE8-5490-411D-A0A9-030FA98BEACD.jpeg
22134F5C-4246-4D9F-82EE-23C0595E051F.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom