MgungaMiba
JF-Expert Member
- Aug 28, 2011
- 999
- 815
Swali la msingi sana Lissu amemuuliza Pinda, baada Pinda kudai amefanya kila aliloweza kumaliza mgogoro wa Madaktari. Sasa Mzee Mkuu kama umemaliza uwezo wako na tatizo limekushinda, si ujiuzulu? Sikiliza Pinda alivyojibu; " Mimi ni Mkubwa kwako, hiyo si approach nzuri ya kuniuliza!"