Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,030
- 3,324
- Thread starter
- #21
Life limebadilika, maendeleo pamoja na namna ya kufikiri kwa watuNi kipi kimebadirika Jua au Mwezi...!!
Life limebadilika, maendeleo pamoja na namna ya kufikiri kwa watuNi kipi kimebadirika Jua au Mwezi...!!
Wale ni mashabiki wa kubwa wa soka, wana viwanja vikubwa mno.. Tena isitoshe wananunua wachezaji waliostaafu ulaya kwa bei ndefu tu ili wawaone kwa Karibu huko kwaoMarekani football ni kitu tofauti kabisa na huko kwingine.
Unanilisha maneno.So are u trying to say kuwa mpira ni dunia na dunia ni mpira??
Unachokisema unkitafakari kwanza??
Marekani inakusanya kila kitu na kutaka kuwa binhwa wa kika kitu.Wale ni mashabiki wa kubwa wa soka, wana viwanja vikubwa mno.. Tena isitoshe wananunua wachezaji waliostaafu ulaya kwa bei ndefu tu ili wawaone kwa Karibu huko kwao
Ndio maana nikasema mwanzoni kuwa u-mtumwa wa kifikra...!!Life limebadilika, maendeleo pamoja na namna ya kufikiri kwa watu
Unadhani wangekuwa hawapendi wangehangaika nao?Marekani inakusanya kila kitu na kutaka kuwa binhwa wa kika kitu.
Lakini hilo halimaanishi kwamba wanaoenda soccer.
Ukiangalia statistics wana American Football, Baseball, Basketball na Hockey zote zimeifunika soccer.
Watu hawajui hata kanuni ndogo tu za mchezo.
Kwa hiyo kuna sehemu soccer watu hawafuatilii kihivyo.
Ukiwa shabiki wa Asernal lazima ujute.
Hahaha poa poa mkuuUnanilisha maneno.
Nasema usipopenda mpira, wewe upo against the world
Wamarekani wanatamani wae top katika kila kitu.Unadhani wangekuwa hawapendi wangehangaika nao?
Na ukiona wanatamani wawe top kwenye football, maana yake football ni kitu Kikubwa ktk dunia hii... Ingekua kitu kidogo, wasingepoteza mabilioni kuwekeza kwenye soka
Al-WatanWamarekani wanatamani wae top katika kila kitu.
Kuna watu Wamarekani wanafurahi kwamba nchi yao wako top katika kuuana kwa mass shootings, na siku nchi nyingine ikivunja hiyo rekodi wataona vibaya.
Ubaya au uzuri ni kwamba kikundi kidogo tu cha Wamarekani kiking'ang'ania kitu, hicho kitu kitapaa kwenye charts za dunia kwa upande wa Marekani.
Ndiyo maana soccer si mchezo unaofuatiliwa sana Marekani lakini wamefika mpaka kombe la dunia, wakati Tanzania soka inapendwa kichizi na hatujafika kombe la dunia.
Sasa ukiangalia nani kaenda kombe la dunia na kanunua wachezaji bei mbaya ili ujue soka inapendwa wapi, unaweza kusema inapendwa Marekani kuliko Tanzania.
Burudani inayopatikana kwenye soka, ni chakula tosha cha kukuza IQHakuna jipya katika football, bora nitazame movie nikuze IQ, nione tamaduni mbali mbali na mwisho nijitambue