If u want the best join with the best.

MUGOMBA

New Member
Sep 7, 2011
2
0
Hakika wana JF nawapongeza sana kwa habari na changamoto nyingi za maisha katika nyanja zote.
nimeamua nami niongezeke kwenye jamii ,ili tuzidi kubadilishana mawazo mbalimbali kati ya aliyekuwa na hili na
aliyekuwa na lile.
sasa tutakuwa pamoja mpaka mwisho utakapofika.
 
Hakika ujumbe wako ni mzito na mzuri....

Karibu saana JF and Please give us your BEST....
 
Back
Top Bottom