magombe junior
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 2,015
- 1,031
Wakuu habar za majukum
Kwa sababu mm ni mdau wa MMU nimeona niwaulize wanafamilia wenzangu ingawa inawezekana sio forum sahihi
Nategemea kufanya IELTS by january nxt year,so ningependa kufaham kwa wale ambao tayar wameshafanya hii test nipate abc's maana naambiwa around two third hua wanakosa kwa kila wanaofanya each year.
So mwenye uzoefu ata kama hakufaulu ningependa kufaham what the trick!
Asanteni
Kwa sababu mm ni mdau wa MMU nimeona niwaulize wanafamilia wenzangu ingawa inawezekana sio forum sahihi
Nategemea kufanya IELTS by january nxt year,so ningependa kufaham kwa wale ambao tayar wameshafanya hii test nipate abc's maana naambiwa around two third hua wanakosa kwa kila wanaofanya each year.
So mwenye uzoefu ata kama hakufaulu ningependa kufaham what the trick!
Asanteni