feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,800
- 12,612
Wakuu habari za mihangaiko.
Bila kupoteza muda huyu jamaa naona sasa amekua sana kiakili na anafikiria zaidi maisha naona hataki tena kurudia makosa baada ya kupoteza 600M.
Hizi ni kazi zake za hivi karibuni kwa kweli amewafunika wakongwe wote kwa sasa na hachoshi kumtazama pongezi kwake.Aongeze bidii ili afanye zaidi ya hapa.
Hizi hapa ni kazi zake za sasa unaweza angalia ukipenda.
Bila kupoteza muda huyu jamaa naona sasa amekua sana kiakili na anafikiria zaidi maisha naona hataki tena kurudia makosa baada ya kupoteza 600M.
Hizi ni kazi zake za hivi karibuni kwa kweli amewafunika wakongwe wote kwa sasa na hachoshi kumtazama pongezi kwake.Aongeze bidii ili afanye zaidi ya hapa.
Hizi hapa ni kazi zake za sasa unaweza angalia ukipenda.