Mr Excel
JF-Expert Member
- Jul 31, 2021
- 526
- 1,645
Hahahaha umetisha MkuuHuwa nawasikia nikiwa kwenye daladala. Na ninaona wanaigana vituo vya redio jinsi ya kupiga kelele😁😁
Hahahaha umetisha MkuuHuwa nawasikia nikiwa kwenye daladala. Na ninaona wanaigana vituo vya redio jinsi ya kupiga kelele😁😁
OkKweli mtu na akili zako timamu unamsikiliza Juma Lokole afu unakuja kulialia humu
Nilikuwa tu natembelea Station mbalimbali nilipofika kwa hawa majuha nikasikia wanabishana nikaona nipige kituo hapo niwasikilize wanabishana niniHiyo radio yenyewe n ya makelele unategemea
Nn na unatoa wapi mda WA kuskiliza
Huo utopolo wakat XXL ipo ??
Yes Sirachana nao sikiliza tbc efemu
Kwani wewe baba yako akiwa mlevi huwezi kumsikiliza,nini kinapungua au kuongezeka kwako ukimsikiliza as long as hakushawishi uwe choko kama yeyeUnasikiliza machoko?
Karibu mkuuHahahaha umetisha Mkuu
Kama hujui hao ndio wanawasikilizaji wengi sana na hapo hela ndio zinaingia.Inaonekana watangazaji wengine wa radio wanaokotezwa tu hawana hata ethics za hizo kazi za utangazaji.Unakuta wapo watu wapo kwenye kipindi wanabishana kama wapo kwenye kilabu cha mataputapu hawawekeani hata utaratibu wa kuongea,watu wanabishana mpaka msikilizaji unaona kero unabadilisha Station. Dida ni mmoja wa watangazaji wenye kelele sana
😂😂Hivi huyo Lokole ndiyo Mwijaku?
Du!Hivi huyo Lokole ndiyo Mwijaku?