mwanahabari93
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 263
- 169
Idrisa sultan nikijana mmoja mjanja mjanja sana tukumbuke aliwahi kuwa mshindi wa mashindano makubwa ya Big brother Afrika na akajinyakulia kitita kikubwa cha pesa huyu jamaa ni mtu maarufu sana hapa nchini ....ulioletwa na ushindi wake wa BBA na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Tanzania sweetheart na mzungumzia mwanadada wema sepetu...Ila kilichofanya niandike Uzi huu ni Kipindi Cha Idris kinachorushwa na Clouds Tv kinachojulikana Kwa jina la sio habari...kikiwa na maudhui na dhumuni la kuchekesha ....ila mimi sion kama kuna kichekesho naona Idris anatumia nguvu nyingi kuchekesha sioni kama idris ni mchekeshaji mzuri....kwangu nakataa kabisa ...nampa ushauri aendelee na biashara yake ya Viatu aachane na Tasnia hyo ....nionavyo mimi au kuna mtu anae mkubali ....jamani...tusaidiane kumfikishia ujumbe..