Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,200
- 5,553
Sio masikini tu, na ndio wasio na uwezo wa akili ya kutatua matatizo yao na jamii zao.Hahaha toa sadaka usipate korona. Dini imepumbaza waafrika wengi sana hadi huruma, cha kushangaza wenye dini wengi duniani ndiyo masikini, what a waste of 🧠
Ya wakristo waachie wenyewe ni vyema ukajikita kwenye imani yako. Acha upotoshaji.Kupitia ukurasa wake wa Tweeter ameandika hivi!!View attachment 1417923View attachment 1417924View attachment 1417927
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata USA makanisa ya kiroho yanajaa...Ila kwa Africa hao wahubiri watenda miujiza ni baraka kwa wanasiasa dhaifu. Unadhani ni kwa nini watu wanajaa kufuata miujiza ya uponyaji ama ya baraka za utajiri kama si kutokana na mifumo ya uendeshaji wa nchi zao kushindwa kuwasaidia?
Kuachiwa kwao kuendelea kunatokana na kuwa wanasiasa hawana majibu kwa matatizo ya watu wanaowaong0za. YESU siyo daktari na muujiza kwa jina lenyewe tu si jambo linalotarajiwa kutokea kila mara, sasa ni kwa nini kila siku mtu awaalike watu kuja kupata miujiza?
Watu wanaambiwa hakuna lisilowezekana kwa YESU lakini YESU mwenyewe aliondoka duniani akiwa ametenda miujiza ambayo haijai hata kwenye kiganja. Sasa huyu mfuasi wake ambaye kila siku anataka kutenda miujiza kama dozi anawezaje?
Afrika mifumo ya Ajira, Afya na mahusiano imeharibiwa kiasi kwamba hao watenda miujiza ndiyo wanakimbiliwa angalau kidogo wawatulize hao waafrika wenzao kisaikolojia kwa mazingaombwe yao.
Kweli kabisa, siku hizi sadaka sitoi kijinga kijinga hadi nijue matumizi yakeKupitia ukurasa wake wa Tweeter ameandika hivi!!View attachment 1417923View attachment 1417924View attachment 1417927
Sent using Jamii Forums mobile app
. Kuna mahali nimezungumzia kujaa kwa Makanisa? Halafu kwani huko Marekani ndiyo hakuna matapeli?Hata USA makanisa ya kiroho yanajaa..
Roho amesema au mwandishi wa hicho kitabu ndio amesema kua roho alisema?1 TIMOTHEO 4
1: Roho anasema wazi wazi kwamba katika siku za mwisho watu wengine wataiacha imani yao na kusikiliza roho za udanganyifu na mafundisho ya mashetani.
2: Mafundisho hayo yanaletwa na wanafiki waongo ambao dhamiri zao zimekufa kama vile zimechomwa kwa chuma cha moto.
Je wewe unafuata imani yako au unamsikiliza fulani anasema nini?
Sent using Jamii Forums mobile app