Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Yaani wametumia siku nane kuna na hili kosa?? Police wa TZ ni vilaza wa kutupwa
Mambo ya kubambikia watu vitu vya hovyo vinatia aibu sana, sioni hata kosa la kumnyima mtu uhuru wake zaidi ya wiki mojaMchekeshaji huyu alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay kwa takriban siku 8 akifanyiwa mahojiano.
Haijajulikana ni mashtaka gani atasomewa lakini kwa wa mujibu wa Polisi, walikuwa wakimuhoji kwa tuhuma za kujaribu kuharibu ushahidi na makosa mengine ya Kimtandao.
Endelea kufuatilia....
UPDATES
Mchekeshaji Idris amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu pamoja na mwenzake Innocent Maiga na kusomewa mashtaka yao
Katika shtaka la kwaza, Idris pekee anatuhumiwa kutumia laini yenye namba 0753 617621 ambayo haijasajiliwa kwa jina lake bali kwa jina la Innocent Maiga
Katika shtaka la pili, Innocent pekee anatuhumiwa kushindwa kuripoti ubadili wa umiliki wa laini hiyo baada ya Idris kuanza kuitumia
UPDATE
Idris amepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kutumiza masharti yakuwa na wadhamini wawili na bond ya TZS 15,000,000/-
Kesi itatajwa tena Juni 09, 2020
Hahahahaaa...... Naona mmefunguliwa kwa 2020.Afungwe haraka tumechoka kuona vijana badala ya kulima wanashinda Twitter
Nyie endeleeni kutoana ngeu humuJifunze kiswahili kwanza
Kwani alipost kwa nia ya kukuchekesha au kajipostia zake tu.Sema jamaa Hana kipaji Cha kuchekesha mbona Kuna wengine hawatumii njia Kama ya idris na watu wanacheka ajifunze kwa Jambo na Vijambo au kwa cheka tu
Waafrika Mnapenda Sana Mambo ya Kifalme na Uchief.. Mnapenda Kuabudiwa Kwani Kucheka Picha kunq Shida Gani...Sultani Alifanya Dhihaka.
Kwanza tambueni Raisi JP Magufuli, ni Raisi halari wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hivyo anastahili kuheshimiwa na kila raia wa nchi hii, bila kujali ulimpigia kura au la.
Idrisa kama Msanii anayetazamwa na watu wengi Aliidhihaki Picha ya Raisi na Watanzania wengi waliiona video clip yake.
Je, kama msanii ile video ililenga kufanya nini ktk jamii yetu.
Idrisa anastahili adhabu kali ili iwe fundisho kwake na kwa wengine.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliozizea kwao kawaida kuona milion 100 kwenye account. Sasa mwenzangu na mimi tigopesa inasoma sh. 50 huku una madeni kila mahali mara unaambiwa umeshinda biko milion 100 unafikiri cha kwanza kitakua ni investment?? Hapana cha kwanza ni kufurahisha nafsi na mambo yote uliyomiss wakat ukiwa apeche alolo. Ila kabla hujaipata mikakati itakua mingi pata sasaNdio maana ni muhimu sana kuzizoea pesa kabla hujazikamata kisawasawa ili siku ukija kuzipata hautachanganyikiwa.
Kuna jamaa mmoja alikuwa amepanga jirani na nyumbani kwetu ambaye shughuli zake alikuwa ni mchimbaji migodini ni kama wale wanawaita wana apollo kwa miaka mingi sana lakini alikuwa anapata senti ndogondogo za kujikimu tu.
Sasa ikafika siku Mungu akamuona akabahatika kupata dhahabu kubwa akatafuta mteja akaliuza kwa thamani ya milioni 450.
Alivyopata hizo hela akili ikabadilika jamaa akawa hataki kuongea na majirani wa uswahilini ambao ndio walikuwa rafiki zake hapo awali.
Akawa vikao vyake ni kwenye baa kubwa kubwa na matajiri,wakaanza kumpa mipango feki ya biashara na kwa vile jamaa sio mzoefu wa mambo ya kibiashara akawa anawakubalia anawekeza pesa zake.
Mwisho wa siku jamaa katapeliwa hela karibu zote.
Alichoambulia ni kununua nyumba uswahilini kama ya milioni 30 na kigari cha milioni 10 ambacho sasa hivi amechoka hata kugharamia mafuta hawezi,elfu 10 anaitafuta kwa tochi.
Kwenye maisha yako nin kinaongezeka Kama akiwa anaishi kwa kuomba omba, watoto wa kiume hawanaga hizi tabiaKilaza mmoja alipiga milioni 500 big brother south Africa malaya wa Dar wamezikomba zote amebaki anaishi kwa kuombaomba mtaani
Chuki, roho mbaya, wivu, husda, lazima tujifunze Kila mtu ana maisha yakeHii comment yako inazungumza mengi yaliyomo moyoni mwako dhidi ya idris mwana wa sultan
Sasa unachekea huku Jf, kama unajua kucheka kachekee insta.Magufuli anajikuta immortal ahahahaha!
Na ninavyojua kucheka watu ingekuwa mimi nacheka hadi naanguka chini
Unajikuta unafungwa super, yaan mwenzako akifeli kwenye maisha haina haja ya kumuona mjingaKama draft vile. Ukiwa nje ulionaaa, na mitego yote. Ingia sasa uone balaa lake