kinyama nje
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 1,839
- 2,461
Sija kusoma hapo mkongwe hii picha ya nani?
Sija kusoma hapo mkongwe hii picha ya nani?
Magu yupo Kwa maslahi ya chatoTuungane nae sasa maana yupo kwa maslahi ya taifa na si kwa maslahi ya mataifa ya nje kama waliopita
Na waganda wanyewe wanamkubali Idd ni propaganda tu za Nyerere kumtangazia ubaya uliopitilizaYeah, ila ukiwasikiliza waganda wenyewe na ukiwa vijiwe vya kahawa pale Kampala, au ukikutana na wazee wa zamani utapata mambo mengi mazuri
Mpaka tulimuimba kwenye mchakamchaka shule ya msingi........sumu tangu tukiwa wadogoNa waganda wanyewe wanamkubali Idd ni propaganda tu za Nyerere kumtangazia ubaya uliopitiliza
Kwani chato ipo huko kwenu marekani au london kwa shangazi akoMagu yupo Kwa maslahi ya chato
Pichani ni #Al-hajj Idi Amin Dada akiwa amebebwa na wazungu akizungushwa katika mitaa mbalimbli ya Jiji la kampala
nchini uganda. Hii picha inafichwa sana na wazungu kutokana na kitendo cha Iddi Amin.
#Idi Amin baada ya tukio hilo alisema Afrika tunaweza kuitawala Ulaya na Amerika kama ambavyo Wao walivyoweza kututawala.
Leo hii Embu fikiria Wangekuwepo kina Idd Amin na Gaddaf, Wangekubali Majaribio ya Chanjo ya Corona yafanyikie Hapa Afrika?
Viongozi wetu kuna Jambo la kujifunza
hapa.
View attachment 1705900
Nilipofika kwny hii sentensi ndio nikatambua ujinga wako!Idd Amin na Gaddaf, Wangekubali Majaribio ya Chanjo ya Corona yafanyikie Hapa Afrika?
Pichani ni #Al-hajj Idi Amin Dada akiwa amebebwa na wazungu akizungushwa katika mitaa mbalimbli ya Jiji la kampala
nchini uganda. Hii picha inafichwa sana na wazungu kutokana na kitendo cha Iddi Amin.
#Idi Amin baada ya tukio hilo alisema Afrika tunaweza kuitawala Ulaya na Amerika kama ambavyo Wao walivyoweza kututawala.
Leo hii Embu fikiria Wangekuwepo kina Idd Amin na Gaddaf, Wangekubali Majaribio ya Chanjo ya Corona yafanyikie Hapa Afrika?
Viongozi wetu kuna Jambo la kujifunza
hapa.
View attachment 1705900
Vituko vya Idi Amin Dada
LUTENI KANALI MSTAAFU DANIEL GANGISA ALIYESOMA NA DIKTETA IDD AMIN
DIKTETA Idd Amini Dada aliivamia Tanzania mwaka 1978, akidai sehemu ya kaskazini mwa Tanzania kuwa ni sehemu ya nchi ya Uganda hali iliyosababisha Rais wa serikali ya awamu ya Kwanza ya Jamhuri ya Tanzania Hayati Mwl.Julius Nyerere kuagiza Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kutoa kipigo kizito kwa Dikteta huyo.
Kipigo hicho kilimuondoa Hayati Idd Amini sio tu katika ardhi ya Tanzania,bali alipigwa hadi katika ardhi ya nchi ya Uganda hali iliyosababisha kukimbia nchi yake hivyo watanzania na Waganda kukombolewa dhidi ya unyama na kuwaacha wanaishi maisha ya amani na utulivu.
Hayati Idd Amin alimpindua aliyekuwa Rais wa Uganda Dk.Militon Obote mwaka 1971 hadi 1979 aliondolewa na kukimbilia katika nchi ya Libya,baadaye Iraki kisha uhamishoni Saudi arabia ambako alifariki mwaka 2003 na kuzikwa katika nchi hiyo ya Saudia.
Luteni Kanali Mstaafu Daniel Gangisa (90) ni mmoja wa Brigedi Kamanda aliyeoongoza kumng,oa Dikteta Idd Amini Dada katika ardhi ya Tanzania hadi Uganda mwaka 1979. Shujaa wa Tanzania, Luteni Kanali Gangisa ni Mstaafu wa JWTZ ambaye anaishi katika Kitongoji cha Chandarua Kata ya Mshangano Wilaya ya Songea Mkoa wa Ruvuma, Tanzania .
Source : Songea TV