Idi Amin Dada akiwa amebebwa na wazungu

Yeye amekaa juu ya kiti but bendera ya Ug imefungwa chini, kweli huyu mwamba hatari alikuwa anadiktetia hadi bendera.

Hell must be real 😂😂😂😂
 
Really thought ◇◇
Pichani ni #Al-hajj Idi Amin Dada akiwa amebebwa na wazungu akizungushwa katika mitaa mbalimbli ya Jiji la kampala
nchini uganda. Hii picha inafichwa sana na wazungu kutokana na kitendo cha Iddi Amin.

#Idi Amin baada ya tukio hilo alisema Afrika tunaweza kuitawala Ulaya na Amerika kama ambavyo Wao walivyoweza kututawala.
Leo hii Embu fikiria Wangekuwepo kina Idd Amin na Gaddaf, Wangekubali Majaribio ya Chanjo ya Corona yafanyikie Hapa Afrika?

Viongozi wetu kuna Jambo la kujifunza

hapa.

View attachment 1705900
 
Vituko vya Idi Amin Dada

LUTENI KANALI MSTAAFU DANIEL GANGISA ALIYESOMA NA DIKTETA IDD AMIN




DIKTETA Idd Amini Dada aliivamia Tanzania mwaka 1978, akidai sehemu ya kaskazini mwa Tanzania kuwa ni sehemu ya nchi ya Uganda hali iliyosababisha Rais wa serikali ya awamu ya Kwanza ya Jamhuri ya Tanzania Hayati Mwl.Julius Nyerere kuagiza Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kutoa kipigo kizito kwa Dikteta huyo.

Kipigo hicho kilimuondoa Hayati Idd Amini sio tu katika ardhi ya Tanzania,bali alipigwa hadi katika ardhi ya nchi ya Uganda hali iliyosababisha kukimbia nchi yake hivyo watanzania na Waganda kukombolewa dhidi ya unyama na kuwaacha wanaishi maisha ya amani na utulivu.

Hayati Idd Amin alimpindua aliyekuwa Rais wa Uganda Dk.Militon Obote mwaka 1971 hadi 1979 aliondolewa na kukimbilia katika nchi ya Libya,baadaye Iraki kisha uhamishoni Saudi arabia ambako alifariki mwaka 2003 na kuzikwa katika nchi hiyo ya Saudia.

Luteni Kanali Mstaafu Daniel Gangisa (90) ni mmoja wa Brigedi Kamanda aliyeoongoza kumng,oa Dikteta Idd Amini Dada katika ardhi ya Tanzania hadi Uganda mwaka 1979. Shujaa wa Tanzania, Luteni Kanali Gangisa ni Mstaafu wa JWTZ ambaye anaishi katika Kitongoji cha Chandarua Kata ya Mshangano Wilaya ya Songea Mkoa wa Ruvuma, Tanzania .

Source : Songea TV
 
Pichani ni #Al-hajj Idi Amin Dada akiwa amebebwa na wazungu akizungushwa katika mitaa mbalimbli ya Jiji la kampala
nchini uganda. Hii picha inafichwa sana na wazungu kutokana na kitendo cha Iddi Amin.

#Idi Amin baada ya tukio hilo alisema Afrika tunaweza kuitawala Ulaya na Amerika kama ambavyo Wao walivyoweza kututawala.
Leo hii Embu fikiria Wangekuwepo kina Idd Amin na Gaddaf, Wangekubali Majaribio ya Chanjo ya Corona yafanyikie Hapa Afrika?

Viongozi wetu kuna Jambo la kujifunza

hapa.

View attachment 1705900

Nilikuwa namkubali sana huyu commando idd amini, acha yule mzee aliekufa Nyerere.
 
Vituko vya Idi Amin Dada

LUTENI KANALI MSTAAFU DANIEL GANGISA ALIYESOMA NA DIKTETA IDD AMIN




DIKTETA Idd Amini Dada aliivamia Tanzania mwaka 1978, akidai sehemu ya kaskazini mwa Tanzania kuwa ni sehemu ya nchi ya Uganda hali iliyosababisha Rais wa serikali ya awamu ya Kwanza ya Jamhuri ya Tanzania Hayati Mwl.Julius Nyerere kuagiza Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kutoa kipigo kizito kwa Dikteta huyo.

Kipigo hicho kilimuondoa Hayati Idd Amini sio tu katika ardhi ya Tanzania,bali alipigwa hadi katika ardhi ya nchi ya Uganda hali iliyosababisha kukimbia nchi yake hivyo watanzania na Waganda kukombolewa dhidi ya unyama na kuwaacha wanaishi maisha ya amani na utulivu.

Hayati Idd Amin alimpindua aliyekuwa Rais wa Uganda Dk.Militon Obote mwaka 1971 hadi 1979 aliondolewa na kukimbilia katika nchi ya Libya,baadaye Iraki kisha uhamishoni Saudi arabia ambako alifariki mwaka 2003 na kuzikwa katika nchi hiyo ya Saudia.

Luteni Kanali Mstaafu Daniel Gangisa (90) ni mmoja wa Brigedi Kamanda aliyeoongoza kumng,oa Dikteta Idd Amini Dada katika ardhi ya Tanzania hadi Uganda mwaka 1979. Shujaa wa Tanzania, Luteni Kanali Gangisa ni Mstaafu wa JWTZ ambaye anaishi katika Kitongoji cha Chandarua Kata ya Mshangano Wilaya ya Songea Mkoa wa Ruvuma, Tanzania .

Source : Songea TV


Kwanini anaitwa dikteta? Je, alikuwa dikteta kweli au?
 
Back
Top Bottom