IDF yahamisha wagonjwa kutoka hospitali moja huko Gaza baada ya hospitali hiyo kuhisiwa kuwa ni kambi na handaki la Hamas

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
44,398
82,695
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limetangaza kuanzisha operesheni mpya katika Hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Gaza, baada ya kugundua kuwa wapiganaji wa Hamas wamerudi eneo hilo.

IDF ilieleza kuwa hospitali hiyo imekuwa ngome kuu ya wanamgambo wa Hamas na imetumika kwa shughuli zao tangu kuanza kwa vita.

Kabla ya operesheni hiyo, IDF ilihakikisha usalama wa raia, wagonjwa, na wahudumu wa afya kwa kuwahamisha kwenda hospitali nyingine kwa ushirikiano na maafisa wa afya wa Gaza na mashirika ya kimataifa.



Tangu asubuhi ya Ijumaa, Kikosi cha 401 cha Magari ya Kivita kimeendesha operesheni maalum katika eneo hilo, likilenga kupunguza madhara kwa raia na wahusika wasiohusika.

My take:

IDF wanasema hospitali hiyo ni strong hold ya Hamas!

Mfano, Unawaambia Wagonjwa wote Muhimbili muondoke mwende Jangwani short of that nitawateketeza humo hospitalini

====================

The Israel Defense Forces said Friday that its forces had launched a new operation at Kamal Adwan Hospital in northern Gaza after identifying that Hamas operatives had returned to the area.

“The Kamal Adwan Hospital serves as a Hamas terrorist stronghold in northern Gaza, from which terrorists have been operating throughout the war,” the statement said.

The IDF, which last operated against Hamas at the hospital in October, said the facility had “once again become a key stronghold for terrorist organizations and continues to be used as a hideout for terrorist operatives.”

The IDF said it “facilitated the secure evacuation of civilians, patients, and medical personnel prior to the operation” to mitigate civilian harm.

The civilians were taken to other hospitals in Gaza in an effort coordinated by the Defense Ministry’s Coordinator of Government Activities in the Territories (COGAT) with local health officials and international organizations, the military said.


IMG_0057.jpeg
 
Unapigana na chizi na tena unamchagulia silaha...........wewe tulia maana utulivu huna sasa utatulizishwa bila papara
 
My to yeye nakuhakikishia maisha yangu kwako.

I'm already there
Don't make a sound
I'm the beat in your heart
I'm the moonlight shining down
I'm the whisper in the wind
And I'll be there 'til the end
Can you feel the love that we share?
 
Hivi alotuma October 7 kufanya ule uhalifu kwa myahudi ni Nani?
Hawatokaa warudie
Yalikuwa yanakata mauno balaa hadharani siku hiyo huku yakibweka na sauti za juu Allah akbar Allah akbar. Sasa hivi hata kusema tu hivyo yanashindwa na wale wanaoweza wamebaki yakibweka kwa kujilazimisha Allah Akbar huku yamebanamikundu yao kwa uchungu mkali.

Maamaee myahudi

100 others and 100 others Malaria 2

Nyau de adriz
 
Hayo magonjwa, matoto, mazee na wanawake yote siyo yakuhurumia.

Israel don't sort them just kill them all.

NO MERCY

Adiosamigo gallow bird gTurn dem boy ITR Ritz

Nyau de adriz
IDF nao huwa wanaugua magonjwa mbalimbali au kujeruhiwa, IDF baadhi yao wanao watoto huko watokako, IDF wanao wazazi wao wazee, IDF wamezaliwa na wanawake na pia wanao dada/shangazi zao huko watokako. IDF kama binadamu wanajali pia UHAI. Hawatakubaliana na hoja yako hapo - eti No Mercy.
Kwa mantiki hiyo, unless mtu akatae mwenyewe kwa hiari kuhamishiwa Hospitali nyingine e.g. disguised HAMAS members na Wenaowania mabikra 72 na mito ya pombe; basi hapo IDF hana namna nyingine ya kumsaidia. Atajumlishwa kwenye kipondo.
 
Back
Top Bottom