CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,913
Nimeshangaa sana kusikia benki ya TIB imeunganishwa na Benki ya Posta ambayo nayo isha unganishwa na benki kibao hapo nyuma.
TIB nazani ilikuwa benki ya Mitaji kama zilivyo kwenye nchi zingine Duniani, Sasa nashangaa kusikia inatakiwa ianze kushindana na wakina CRDB
Idea ya TIB na Idea ya Tanzania Agriculture Bank zinafanana sana sema moja ni kilimo na nyingine ilikuwa ina cover kila kitu
Wazo lake la awali lilikuwa bora shida nazani imekosa mtaji na na kwa speede ya kununua ndege nazani pia hii bank ingepata mtaji wa kutosha ingefanya mambo
Sitashangaa mwakani kusikia imeinganishwa tena na Banki ya Kilimo
TIB nazani ilikuwa benki ya Mitaji kama zilivyo kwenye nchi zingine Duniani, Sasa nashangaa kusikia inatakiwa ianze kushindana na wakina CRDB
Idea ya TIB na Idea ya Tanzania Agriculture Bank zinafanana sana sema moja ni kilimo na nyingine ilikuwa ina cover kila kitu
Wazo lake la awali lilikuwa bora shida nazani imekosa mtaji na na kwa speede ya kununua ndege nazani pia hii bank ingepata mtaji wa kutosha ingefanya mambo
Sitashangaa mwakani kusikia imeinganishwa tena na Banki ya Kilimo