Kwani ukitumia lugha ya staha,utapungukiwa nini ndugu yangu,jaribu kua na staha pale unapoona mwenzako amechangia kwa hoja usizozipenda.Hakuna Mwenyekiti wa bunge anaeitwa Iddi Azzan. Iddi Azzan aliwahi kuwa mbunge wa Kinondoni kwa sasa hayupo tena bungeni.
Mwenyekiti ni Mussa Azzan "Zungu" ambae ni mbunge wa Ilala.
Halafu mnajifanya wajuaji.
Sasa ulitaka Mwenyekiti asimkubali mjumbe wake?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Punguani wahed.
HaswaaKila kinywa cha mwenye haki kinakiri jina la Lissu kwa namna yake
Real can not recognize real until fake shows up hah hah(just joking)Real recognize Real
No zungu yupo tofauti kidogo na ndugai na tulia.Unganisha doti, Ni mtu wa karibu sana na mzee wetu wa Chadema na walikuwa kamati moja ya bunge kable mzee hajaama!
kwani huu siyo mwezi mtukufu? matusi ya nini sasa.Mbona unajishindisha njaa bure.Hakuna Mwenyekiti wa bunge anaeitwa Iddi Azzan. Iddi Azzan aliwahi kuwa mbunge wa Kinondoni kwa sasa hayupo tena bungeni.
Mwenyekiti ni Mussa Azzan "Zungu" ambae ni mbunge wa Ilala.
Halafu mnajifanya wajuaji.
Sasa ulitaka Mwenyekiti asimkubali mjumbe wake?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Punguani wahed.
Mwenyekiti wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania Iddi Azzani Zungu , Ni miongoni mwa wenyeviti imara bungeni katika kuendesha vikao vya bunge , kwenye mjadala wa jana wa azimio la bunge la kumpongeza Rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania ....Lissu alizongwa sana na wabunge kutoka chama tawala , na wakawa wanashinikiza Lissu aache kuchangia hoja lakini , Mwenyekiti Zungu alimtetea sana Lissu na akimtaka achangie hoja na asizongwe zongwe.
Mwenyekiti wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania Iddi Azzani Zungu , Ni miongoni mwa wenyeviti imara bungeni katika kuendesha vikao vya bunge , kwenye mjadala wa jana wa azimio la bunge la kumpongeza Rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania ....Lissu alizongwa sana na wabunge kutoka chama tawala , na wakawa wanashinikiza Lissu aache kuchangia hoja lakini , Mwenyekiti Zungu alimtetea sana Lissu na akimtaka achangie hoja na asizongwe zongwe.
Fikra zako potofu.kwani huu siyo mwezi mtukufu? matusi ya nini sasa.Mbona unajishindisha njaa bure.
Unashinda njaa bure tuuFikra zako potofu.
Hilo tusi langu liko wapi?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Unashinda njaa bure tuu
Kwani na wewe ni muislamu? Basi nahisi dini imevamiwa.Hakuna tusi hapo.
Kwani na wewe ni muislamu? Basi nahisi dini imevamiwa.
Mama watotot FaizaFoxy punguza ukali wa maneno mama, mwezi wa toba huu!! Au huko kanisani mnafundishwa nini?Hakuna Mwenyekiti wa bunge anaeitwa Iddi Azzan. Iddi Azzan aliwahi kuwa mbunge wa Kinondoni kwa sasa hayupo tena bungeni.
Mwenyekiti ni Mussa Azzan "Zungu" ambae ni mbunge wa Ilala.
Halafu mnajifanya wajuaji.
Sasa ulitaka Mwenyekiti asimkubali mjumbe wake?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Punguani wahed.
Hivi umefunga?Hakuna Mwenyekiti wa bunge anaeitwa Iddi Azzan. Iddi Azzan aliwahi kuwa mbunge wa Kinondoni kwa sasa hayupo tena bungeni.
Mwenyekiti ni Mussa Azzan "Zungu" ambae ni mbunge wa Ilala.
Halafu mnajifanya wajuaji.
Sasa ulitaka Mwenyekiti asimkubali mjumbe wake?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Punguani wahed.
ni mussa azan zungu sio iddy,,...muuni wetu wa ilalaMwenyekiti wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania Iddi Azzani Zungu , Ni miongoni mwa wenyeviti imara bungeni katika kuendesha vikao vya bunge , kwenye mjadala wa jana wa azimio la bunge la kumpongeza Rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania ....Lissu alizongwa sana na wabunge kutoka chama tawala , na wakawa wanashinikiza Lissu aache kuchangia hoja lakini , Mwenyekiti Zungu alimtetea sana Lissu na akimtaka achangie hoja na asizongwe zongwe.
Nieleweshe wewe unae elewa maana yakeWewe hata maana ya dini huelewi ni nini.
I wish he could be a speaker# Zungu[/QU
hujitambui tu,kunashule inayofundisha ujinga kwa silabusi ipi.hujui lugha ya kumkwaza mwenzio ni dhambi,acha kujifanya hamnazoFikra zako potofu.
Hilo tusi langu liko wapi?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?