Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Mwisho wa siku wakubaliane tu kutokukubaliana na ile kitu iwe ''maamuzi wa Wabunge wa CCM kumpongeza Rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM''. Nadhani hakutakuwa na ugomvi wowote kwenye hilo.
Hili povu ni la swaumu
"Wanapotokea wapungufu wa akili na adabu wakahusudu na kuzungumza mapungufu yangu, huo ni ushahidi kamili kwamba mimi nimetimia".
Wengine hawa ni washangiliaji tuSioswala LA kumkubali mkuu
N mwenyekiti anajua anachofanya..walewengine huongeza unazi wakikalia kille kiti
Tulikuwa tumekumic mama, " shule mnaenda kusomea ujinga"Hakuna Mwenyekiti wa bunge anaeitwa Iddi Azzan. Iddi Azzan aliwahi kuwa mbunge wa Kinondoni kwa sasa hayupo tena bungeni.
Mwenyekiti ni Mussa Azzan "Zungu" ambae ni mbunge wa Ilala.
Halafu mnajifanya wajuaji.
Sasa ulitaka Mwenyekiti asimkubali mjumbe wake?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Punguani wahed.
FF! Umepatwa na nini mkongwe?Naona huna jipya.
Hivyo vitusi vya reja reja kutoka kwa makafiri tunavielewa.