Mtakumbuka Iddi Simba alifunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi hivi karibuni ajabu ya serikali ya CCM wala hakuwekwa ndani wala kupelekwa kituo cha polisi wakati kesi ya uhujumu uchumi moja kwa moja angelikuwa ndani hapa utasema kuwa kuna demokrasia. Wakati yule anayetuliza vurugu zisitokee analala ndani.
Na mtakumbuka kesi ya Aliyekuwa waziri wa fedha katika awamu ya Mkapa yani Mramba na Mgonja. La kujiuliza inakuwaje mpaka leo karibu miaka 8 hakuna chochote kinachoendelea na jamaa wako nje. Wanasubiri mwakani kuwasafisha kuwa Hawana Haitian hio ndio serikali ya Kikwete na chama chake CCM.
Na mtakumbuka kesi ya Aliyekuwa waziri wa fedha katika awamu ya Mkapa yani Mramba na Mgonja. La kujiuliza inakuwaje mpaka leo karibu miaka 8 hakuna chochote kinachoendelea na jamaa wako nje. Wanasubiri mwakani kuwasafisha kuwa Hawana Haitian hio ndio serikali ya Kikwete na chama chake CCM.