Iddi Azan atangazwe mbunge wa Kinondoni na tume kuliko kupoteza fedha nyingi uchaguzi wa marudio

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,182
3,547
Ifike hatua inabidi tume ya uchaguzi ibadilishe kanuni za marudio ya uchaguzi wa madiwani na wabunge kuliko kutumia pesa nyingi katika uchaguzi wa marudio.

Kama Maulid Mtulia amejitoa na kujivua uanachama wa CUF na alikuwa ndio mshindi wa kwanza basi tume ya uchaguzi imtangaze mshindi wa pili Iddi Azan ndio kupitia CCM ndio mbunge wa Kinondoni na aliyeshika nafasi ya pili.

Hivyo hivyo katika majimbo ya Longido, Singida Kaskazini na Songea mjini kama mshindi wa kwanza alijiondoa au hayupo duniani basi tume imtangaze mshindi wa pili.

Haya mambo ya kurudia uchaguzi ni kupotezeana muda tuu na pesa za walipa kodi katika chaguzi za marudio tusubiri 2020.

Au kama mkatangaza majimbo yote CCM ameshinda kwa kutumia kipengele ndio chama chenye wabunge wengi basi tume iwatangaze CCM wameshinda.

Tuendelee na maisha
 
Kama je ccm hawamtaki iddi azan unategemea wafanyaje ? Nani aapishwe au uchaguzi urudiwe
 
Wapinzani wasisimamishe mgombea ili kukwepa kutekwa,kupigwa mapanga etc
Chukueni tu jumbo kino

Ova
 
Hv hawa wabunge wanaoamua kujiuzuru ubunge huwa wanakumbuka kama wanachezea kodi zetu lakin yaan mtu tumetumia fedha zetu za kodi akachaguliwa baada ya miaka miwili anakuja na hoja dhaifu kabisa za kujiudhuru et namuunga mkono rais hawez kumuunga mkono ukiwa mbunge

Aidha atueleze cc watu wa kinondon ndan ya miaka miwili ametufanyia kitu gan hasa cha kujivunia kiukwel watu kama hawa wanatia uchungu sana wanacheza na fedha zetu wanacheza na akili zetu na wanacheza na mda wetu
 
Ifike hatua inabidi tume ya uchaguzi ibadilishe kanuni za marudio ya uchaguzi wa madiwani na wabunge kuliko kutumia pesa nyingi katika uchaguzi wa marudio.

Kama Maulid Mtulia amejitoa na kujivua uanachama wa CUF na alikuwa ndio mshindi wa kwanza basi tume ya uchaguzi imtangaze mshindi wa pili Iddi Azan ndio kupitia CCM ndio mbunge wa Kinondoni na aliyeshika nafasi ya pili.

Hivyo hivyo katika majimbo ya Longido, Singida Kaskazini na Songea mjini kama mshindi wa kwanza alijiondoa au hayupo duniani basi tume imtangaze mshindi wa pili.

Haya mambo ya kurudia uchaguzi ni kupotezeana muda tuu na pesa za walipa kodi katika chaguzi za marudio tusubiri 2020.

Au kama mkatangaza majimbo yote CCM ameshinda kwa kutumia kipengele ndio chama chenye wabunge wengi basi tume iwatangaze CCM wameshinda.

Tuendelee na maisha
Chama kilicho poteza mbunge kiteue mwingine ajaze nafasi. Hii itazuia kununua watu walio chaguliwa na wananchi
 
Utasababisha mauwaji mkuu... Kwa mfano mtu anaweza mpiga risasi mbunge kwa kumvizia ili tu akifa yeye abadili...

Labda itumike kwa wabunge wanao jiuzuru
 
Utasababisha mauwaji mkuu... Kwa mfano mtu anaweza mpiga risasi mbunge kwa kumvizia ili tu akifa yeye abadili...

Labda itumike kwa wabunge wanao jiuzuru
Yeah kwa wabunge wanajiuzulu
Tume imtangaze mshindi WA pili
 
Kama je ccm hawamtaki iddi azan unategemea wafanyaje ? Nani aapishwe au uchaguzi urudiwe
Hawawezi kukosa, kikubwa wasije na mazingaombwe ya kufanya uchaguzi huku wao wanafanya kwa mitutu, mapanga, mabomu, polisi ili washinde
 
Ifike hatua inabidi tume ya uchaguzi ibadilishe kanuni za marudio ya uchaguzi wa madiwani na wabunge kuliko kutumia pesa nyingi katika uchaguzi wa marudio.

Kama Maulid Mtulia amejitoa na kujivua uanachama wa CUF na alikuwa ndio mshindi wa kwanza basi tume ya uchaguzi imtangaze mshindi wa pili Iddi Azan ndio kupitia CCM ndio mbunge wa Kinondoni na aliyeshika nafasi ya pili.

Hivyo hivyo katika majimbo ya Longido, Singida Kaskazini na Songea mjini kama mshindi wa kwanza alijiondoa au hayupo duniani basi tume imtangaze mshindi wa pili.

Haya mambo ya kurudia uchaguzi ni kupotezeana muda tuu na pesa za walipa kodi katika chaguzi za marudio tusubiri 2020.

Au kama mkatangaza majimbo yote CCM ameshinda kwa kutumia kipengele ndio chama chenye wabunge wengi basi tume iwatangaze CCM wameshinda.

Tuendelee na maisha
Ikiwa hivyo watu watauana sana!
 
Back
Top Bottom