Idd ni noma, Guest House zimefurika, Hakuna vyumba

in fact ni halali kabisa mambo kuwa kama unavyoyaona,
watu walijinyima bhana siku 30 si mchezo
wachsa walipize kisasi...........
 
heee......... Makubwa hayo! baraza la sikukuu limehamishiwa nyumba za wageni!!

kama waislam wenzangu tungeliishi maisha yetu ya kiungwana kwa miezi mitatu tuu kila mwaka (1/3) tuliyozoea kuishi katika mwezi mtukufu wa ramadhan naamini dunia ingekuwa sehemu nzuri zaidi kuishi kuliko ilivyo sasa.....eid mubarak
 
Lmfao :)
jamaa yangu kaingia jana saa tatu usiku akitokea mwanza, kazunguka sinza yote bila mafanikio, kila gesti imejaa. Kinondoni, magomeni, ilala, tabata na buguruni. Saa saba usiku akakata tamaa akaja home kunigongea.&lt;br /&gt;<br />
kweli ldd ni noma.
 
Ukame wa mwezi mzima ni nouuummeeerrrr lazima kujae
 
jana nilikula hiyo kitu hapo kwenye red a.k.a mnyama wa taifa, nikamuuliza muuzaji kuhusu hali ya mauzo kwa kipindi hiki akasema wateja walipungua kidogo lakini kuanzia jana ameanza kupokea oda za kutosha toka kwa wale wateja wake waliopotea kwa takribani mwezi mzima.

hahahah imebidi nicheke tu
 
Jana nilikula hiyo kitu hapo kwenye red a.k.a mnyama wa taifa, nikamuuliza muuzaji kuhusu hali ya mauzo kwa kipindi hiki akasema wateja walipungua kidogo lakini kuanzia jana ameanza kupokea oda za kutosha toka kwa wale wateja wake waliopotea kwa takribani mwezi mzima.
<br />
<br />
Jf ni noooma!
Kila mtu na nywele zake. Hiyo kitu ni hatar kwa afya zenu lakin hamuelewi...mara vikuku(tigo) hii gharika kubwa.
Siyakuchekesha ni hatar muwache!!
 
wacha watu wajinafasi mwez mzm hujagonga alafu umekula v2 laini vya kuongeza nguvu zetu ohooo lazma chapa ilale
 
Ulifanya utafiti wa hali ya guest za Dar wakati wa mfungo? au unazusha tu,
 
kama waislam wenzangu tungeliishi maisha yetu ya kiungwana kwa miezi mitatu tuu kila mwaka (1/3) tuliyozoea kuishi katika mwezi mtukufu wa ramadhan naamini dunia ingekuwa sehemu nzuri zaidi kuishi kuliko ilivyo sasa.....eid mubarak
<br />
<br />
Umesahau! Mashaytwan yalifungwa mwezi mzima?
 
Jamaa yangu kaingia jana saa tatu usiku akitokea Mwanza, kazunguka Sinza yote bila mafanikio, kila gesti imejaa. Kinondoni, Magomeni, ilala, Tabata na Buguruni. Saa saba usiku akakata tamaa akaja home kunigongea.<br />
Kweli ldd ni noma.
<br />
<br />
mmm,alitumi gharama gani kuzunguka maeneo yote hayo????,sinza,ilala,konondoni,bugurun,TABATA!!!!!!!
 
Siku za weekend Dar kupata chumba Guest House ni ngumu mno hivyo sishangaa kwa jana na leo hal ihiyo kuwepo...tena ukijifanya unataka kulala ndio kabisa hata kama chumba kipo wanakuambia hakuna wao wanataka short time tu.
 
<br />
<br />
mmm,alitumi gharama gani kuzunguka maeneo yote hayo????,sinza,ilala,konondoni,bugurun,TABATA!!!!!!!

nadhani ilitegemea maelewano... Bodaboda na bajaji could be ecomomically perfect
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom