Masikini Jeuri
Member
- Jan 13, 2008
- 37
- 4
Kumbe CHADEMA ILIPATA MSAADA WA SHYROSE WAKATI WA UCHAGUZI. Ndiyo maana yuko karibu sana na CHADEMA!
" Idd azzan ambae ni mbunge aliesimamishwa miezi 18 kushiriki shughuli za chama baada ya kushindwa kuthibitisha kauli yake nae kaibuka kumlipua shyrose bhanji kuwa katika uchaguzi mkuu uliopita shyrose alitoa sapoti kubwa sana kwa chama cha CHADEMA ila hakupewa adhabu.
Mbali na hayo Idd Azzan wiki iliyopita alipigwa zengwe na moja ya vigogo hao wa CCM kuwa eti ni pusha mzee wa mapouda..!
Siasa za kulipuana ndiyo umekuwa mtindo mpya wakukomoana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama cha mapinduzi(CCM)."
SOURCE Unique Entertainment: IDD AZZAN AMLIPUA SHYROSE BHANJI KUHUSU KUJIHUSISHA CHADEMA...!!
" Idd azzan ambae ni mbunge aliesimamishwa miezi 18 kushiriki shughuli za chama baada ya kushindwa kuthibitisha kauli yake nae kaibuka kumlipua shyrose bhanji kuwa katika uchaguzi mkuu uliopita shyrose alitoa sapoti kubwa sana kwa chama cha CHADEMA ila hakupewa adhabu.
Mbali na hayo Idd Azzan wiki iliyopita alipigwa zengwe na moja ya vigogo hao wa CCM kuwa eti ni pusha mzee wa mapouda..!
Siasa za kulipuana ndiyo umekuwa mtindo mpya wakukomoana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama cha mapinduzi(CCM)."
SOURCE Unique Entertainment: IDD AZZAN AMLIPUA SHYROSE BHANJI KUHUSU KUJIHUSISHA CHADEMA...!!